Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
AaaahaaaaKing kama king Genta ulipopigwa ban forum ilidoda your welcome back bila ww hakuna JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaahaaaaKing kama king Genta ulipopigwa ban forum ilidoda your welcome back bila ww hakuna JF
Mbna michezo ya Jana ulaya walicheza kwenye mvua mkuuKandanda siyo mkutano wa Chadema au CCM ujue!
AahaaaaMbona walio wengi mnashabikia mchezo usichezwe.
KUFA KIUME FC hao, wanakwepa aibu ya kupigwa nyingi.Mbona walio wengi mnashabikia mchezo usichezwe.
Kwa wenzetu wangeshatuma watathmini na Mechi ingetangazwa PP Tangu saa 6, huku Ughaibuni mpaka maji yawe yanafika kiunoni kwa mchezaji ndo Mechi iahirishwe.Sasa Ni Saa 5 inaenda Saa 6 Mchana na Hali ya Hewa ni ya Mvua, Baridi na Upepo tusidanganyane kuwa Hali ya Hewa hadi Saa 11 Jioni muda wa Mtanange ( Mechi ) hii Mvua itakuwa imekata.
TFF na TPLB nawashauri I msione Aibu au kuingiwa na Uwoga kutangaza muda huu ( mapema hii ) kuwa Mechi ya Simba na Yanga imehairishwa kutokana na Hali ya Hewa mbaya ya Mvua Kubwa zinyeshazo sasa na kwamba ichezwe Jumatano ijayo au ipangiwe tarehe nyingine / mpya ila kwa GENTAMYCINE sioni dalili zozote za kuwepo kwa Mechi ya Leo na Mpira ukawa ni wa Kuvutia na Watu ( Mashabiki ) Kuufurahia.
Hili wazo sijawahi kulifikiria Ila ni bonge la idea. Hata Hilo turubai lingewekwa kwenye pitch Tangu Jana Mambo yasingeharibika.Ni vyema maboresho mapya ya uwanja yaendane na kuwa na kifuniko au turubai maalumu kwa juu la kufunga na kufungua ili nyakati kama hizi mambo yasiharibike....
Huko huko kwa wenzenu kila siku watu wanacheza mech kwenye barafu, sio tu mvua,Kwa wenzetu wangeshatuma watathmini na Mechi ingetangazwa PP Tangu saa 6, huku Ughaibuni mpaka maji yawe yanafika kiunoni kwa mchezaji ndo Mechi iahirishwe.
upo uwanjani kweli? Vp hali ya mvua huko taifa?Tumeshajaa uwanjan mkuu
Kweli Kagera Sugar Vs Mtibwa Sugar ni Sawa na Simba Vs Yanga Mkuu? Si Sawa kulinganisha Hiace na Macopolo.Huko huko kwa wenzenu kila siku watu wanacheza mech kwenye barafu, sio tu mvua,
Acheni kuwadekeza watu, hakuna mvua kubwa ya kuzuia match hapa, hii match ichezwe,
Ingekuwa kagera sugar Vs Mtibwa mngekuja kulalamika ?
Hakuna hata picha ya hali ya hewa huko Dar? Tuone wingu lilivyotanda mkuu.Unapoteza mda wako bure,pia unanyweshewa nenda nyumbani kapumzike hakuna mechi
Wauza miamvuli wanapiga sana Hela Leo aiseupo uwanjani kweli? Vp hali ya mvua huko taifa?
Utofaut wake nini? Si zote zinacheza NBC ? Kwa akili hii ndio mana unataka hii iahirishwe ila nyingine zichezwe kwenye mvua 😂😂😂😂 sasa kwa taarifa yako goma linapigwa kama kawaaaKweli Kagera Sugar Vs Mtibwa Sugar ni Sawa na Simba Vs Yanga Mkuu? Si Sawa kulinganisha Hiace na Macopolo.
mbona nasikiliza redio free afrika hapa wanasema mvu imepungua na jua limeanza kuchomoza na hali ya pitch iko vzuriWauza miamvuli wanapiga sana Hela Leo aise
Nahisi mlikuwa wote ward pale lutindi au mirembe mental health rehabilitationKing kama king Genta ulipopigwa ban forum ilidoda your welcome back bila ww hakuna JF
Tumechungulia kwa Babu kuna Kipigo leo.Mbona walio wengi mnashabikia mchezo usichezwe.