TFF kwahili hampo sawa mnaliaibisha Taifa

Hv kwel mkoa wa Rukwa ndio mko slow kiasi hicho. ...
Badala ya kuulaumu mkoa kwa ujumla wake, ni vyema ukajua mmiliki wa uwanja ni nani. Kwani hukumbuki siku moja kabla ya mechi ya yanga na Prisons pale Sokoine jinsi chama kikiongozwa na Tulia kilivyopeleka tamasha lla Wasafi mpaka pitch ikapotea kabisa? Inawezekana mmiliki hicho kwake hakikuwa kipaumbele
 
Wa kwanza nawalaumu TFF coz walikua na uwezekano wakuchagua kiwanja chenye kiwango coz hiyo ni fainali lazma ichezwe kwenye kiwanja Bora. Hao wamiliki hawana kosa coz km kwa madhaifu yote TFF iliona na ikakipendekeza mmiliki kwel angekataa? Bora hata ingekuwa n ligi ungesema ilibidi tu coz viwanja vizuri vichache lakini fainali kweli kwenye hicho kiwanja maandalizi hadi wiki hii ndio watu wanakimbizana na rangi.
 
Hivi CCM watakarabati lini hivi viwanja vyao?
 
Kinacho Nisikitisha ni Wachambuzi Na Waandishii Wa Habari wa Michezo wamekalia kimya hiliii ndio kwanza Wanaisifu Pitch Si Ajabu Wameshakula Hela Za TFF
 
Moja ya sababu nilidhani ni TFF kupelela hamasa mikoani,lakini wao wakiwa kama walezi wa mpira wataboresha viwanja.
 
Alipo sema viwanja vyetu vyakufugia Mbwa Hahaha
 
Wanapaka Rangi majukwaa pitch ikiwa Hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…