Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Badala ya kuulaumu mkoa kwa ujumla wake, ni vyema ukajua mmiliki wa uwanja ni nani. Kwani hukumbuki siku moja kabla ya mechi ya yanga na Prisons pale Sokoine jinsi chama kikiongozwa na Tulia kilivyopeleka tamasha lla Wasafi mpaka pitch ikapotea kabisa? Inawezekana mmiliki hicho kwake hakikuwa kipaumbeleHv kwel mkoa wa Rukwa ndio mko slow kiasi hicho. ...