TFF mara hii mmeshaichoka Simba?Lawama mnayoikwepa inaweza kuwa kubwa zaidi

TFF mara hii mmeshaichoka Simba?Lawama mnayoikwepa inaweza kuwa kubwa zaidi

ushawai kuona ligi gani mtu anafikisha viporo hadi mechi 10..

weka table za ligi za timu zote nane zilizofika robo fainali.. kisha tuone kama ligi za nchi nyingine zinaruhusu viporo.. kisa unacheza klab bingwa...
issue si viporo issue ni sababu ya viporo
sababu ni
1. kucheza mechi tatu kombe spoti pesa, isingecheza hizi maana viporo vitatu vingepungua
2. kucheza hadi fainali kombe la mapinduzi, bila hili kombe mechi nne zingekuwa zimechezwa , mpaka hapo viporo saba visingekuwepo
3. mechi nyingi za kimataifa zinazohusu timu kusafiri kuanzia , swaziland, Zambia, COngo, Misri, Algeria bila hizi viporo vingekuwepo?

ni vigumu timu iliyocheza mechi zote hizi ikawa na michezo sawa na timu zenu hizi za maneno maneno


viporo ni matokeo ya
1. mechi tatu sport pesa
2. mechi nne kombe la mapinduzi
3. mechi kumi za CAF
4. Wachezaji wetu wengi kuwa sehemu ya kikosi cha TAIFA STARS
 
Tukutane jumamosi
Sawa tupo njiani
tapatalk_1553262162919.jpg
 
Tatizo mnasahau haraka sana, Yanga alicheza mechi za ligi na Caf mfululizo, kiasikwamba alikua na majeruhi wengi. Haji Manara Povu lilikua likimtoka kwanini yanga ina ina viporo tena viporo vyenyewe vya mechi mbili au tatu. Sasa wao leo wana viporo vinafika Saba mbaka kumi. Kweli dunia inakwenda kasi sana.
Na. Chiki Mchoma.
+255 712 885 999

Ni kama utata wa dereva wa boda boda au tax.

Pale ambapo ulimwambia utashukia sehemu fulani halafu mkifika sehemu hiyo anakwambia huko mbele siendi shukia hapa tulipokubaliana.

Mwingine hata umwambie nitakuongeza pesa basi yeye atajenga dhana kuwa una nia Ovu na wala siyo ile uliyoonesha awali.Huwezi kuzuia fikra za Mtu.

Yawezekana Simba haikuwa na makubaliano kama ya dereva tax au wa boda boda na TFF lakini ni dhahiri TFF inataka kuonesha kuwa imefikia tamati ya kushirkiana na Simba katika jambo hili la Kitaifa ambalo katika Wafaidika wakuu na TFF wamo.

Najenga dhana kuwa inawezekana kuwa kosa la Simba ni kule kusema tamaa yao ilikuwa ni kufika Robo Fainali na ambayo tayari wameshafika na sasa wameshamalizana na TFF ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiisaidia Simba kwa misingi ile ile ya Utaifa kwanza.

Simba imekuwa kwenye Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na imekuwa inavuka hatua kwa hatua na TFF ilikuwa na Msaada sahihi na wa nia njema ambao si wao tu ila Nchi zote zenye timu zilizo Klabu Bingwa Afrika kupitia vyama vyao vya Soka vimekuwa vikisaidia Timu zao zilizo kwenye hatua hiyo.

TFF inataka kukwepa hoja ya Viporo vya Simba kwa kuilazimisha Simba kucheza kesho dhidi ya JKT.

Unajiuliza iwapo Simba itacheza kesho dhidi ya JKT kisha keshokutwa mchana ikasafiri kwa Masaa matano mpaka Dar es Salaam ikapumzika kisha Ijumaa ikafanya Mazoezi ambayo kimantiki hayatakuwa na tija yoyote kwa mechi ya Jumamosi dhidi ya TP Mazembe sijui hili ni kwa manufaa ya nani.

TFF kupitia Bodi ya ligi wangeweza kugonga hodi kwa Mkurugenzi wa Michezo Bw. Ammy Ninje na kumuuliza juu japo uungwana wa hilo.

Hili la iwapo Simba ikaibua majeruhi (hatuombei na hata TFF haiombei) au ikapata uchovu (fatique) utakaoipa timu ubora dhaifu wa mchezo wao dhidi ya Mazembe ninyi mtakuwa na nafasi kubwa ya kulaumiwa.

Zipo faida nyingi ambazo TFF inazijua kuwa zitakuwa zake moja kwa moja iwapo Simba itapewa nafasi ya kujiandaa vizuri kwa mechi hiyo inayokuja.

TFF hii ndiyo itakayoendelea kupata sifa ya mafanikio ya Vilabu vyake.

TFF hii ndiyo itakayopata Sifa ya Mafanikio ya Ligi yake.

TFF hii ndiyo itakayoendelea kupata Sifa ya hapo baadae Vilabu kuongezeka kwenye ligi za CAF.

TFF hii ndiyo itakayoendelea kupata 10% ya kila fedha ambayo Simba itapata kwa kuvuka kila hatua na kuzitumia pesa hizo kwa maendeleo ya Soka Tanzania.

Fikiria kuanzia hatua ya Makundi TFF imepata zaidi ya Milioni 200 kupitia mafanikio ya Simba kutoka CAF.

Al Ahly walikuwa na viporo si chini ya saba.

JS Saoura, As Vita nao walikuwa na viporo si chini ya saba...tatizo liko wapi??..

Ni kweli TFF inataka kukwepa lawama za Viporo huku ikipoteza mambo muhimu kabisa kwa Taifa kuelekea mechi za CAF..??

TFF tafadhalini sana...Msichoke kuisaidia Simba kwa manufaa ya Taifa.

Haijalishi walisema walitaka kufika Robo Fainali ya Klabu Bingwa hivyo nanyi Mjitosheleze kuwa Inatosha kuipa nafasi Simba ya kujiandaa.

Lawama mnazozikimbia zinaweza kuwaandama maradufu.

Chiki Mchoma.
Fanani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na. Chiki Mchoma.
+255 712 885 999

Ni kama utata wa dereva wa boda boda au tax.

Pale ambapo ulimwambia utashukia sehemu fulani halafu mkifika sehemu hiyo anakwambia huko mbele siendi shukia hapa tulipokubaliana.

Mwingine hata umwambie nitakuongeza pesa basi yeye atajenga dhana kuwa una nia Ovu na wala siyo ile uliyoonesha awali.Huwezi kuzuia fikra za Mtu.

Yawezekana Simba haikuwa na makubaliano kama ya dereva tax au wa boda boda na TFF lakini ni dhahiri TFF inataka kuonesha kuwa imefikia tamati ya kushirkiana na Simba katika jambo hili la Kitaifa ambalo katika Wafaidika wakuu na TFF wamo.

Najenga dhana kuwa inawezekana kuwa kosa la Simba ni kule kusema tamaa yao ilikuwa ni kufika Robo Fainali na ambayo tayari wameshafika na sasa wameshamalizana na TFF ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiisaidia Simba kwa misingi ile ile ya Utaifa kwanza.

Simba imekuwa kwenye Mashindano ya Klabu Bingwa Afrika na imekuwa inavuka hatua kwa hatua na TFF ilikuwa na Msaada sahihi na wa nia njema ambao si wao tu ila Nchi zote zenye timu zilizo Klabu Bingwa Afrika kupitia vyama vyao vya Soka vimekuwa vikisaidia Timu zao zilizo kwenye hatua hiyo.

TFF inataka kukwepa hoja ya Viporo vya Simba kwa kuilazimisha Simba kucheza kesho dhidi ya JKT.

Unajiuliza iwapo Simba itacheza kesho dhidi ya JKT kisha keshokutwa mchana ikasafiri kwa Masaa matano mpaka Dar es Salaam ikapumzika kisha Ijumaa ikafanya Mazoezi ambayo kimantiki hayatakuwa na tija yoyote kwa mechi ya Jumamosi dhidi ya TP Mazembe sijui hili ni kwa manufaa ya nani.

TFF kupitia Bodi ya ligi wangeweza kugonga hodi kwa Mkurugenzi wa Michezo Bw. Ammy Ninje na kumuuliza juu japo uungwana wa hilo.

Hili la iwapo Simba ikaibua majeruhi (hatuombei na hata TFF haiombei) au ikapata uchovu (fatique) utakaoipa timu ubora dhaifu wa mchezo wao dhidi ya Mazembe ninyi mtakuwa na nafasi kubwa ya kulaumiwa.

Zipo faida nyingi ambazo TFF inazijua kuwa zitakuwa zake moja kwa moja iwapo Simba itapewa nafasi ya kujiandaa vizuri kwa mechi hiyo inayokuja.

TFF hii ndiyo itakayoendelea kupata sifa ya mafanikio ya Vilabu vyake.

TFF hii ndiyo itakayopata Sifa ya Mafanikio ya Ligi yake.

TFF hii ndiyo itakayoendelea kupata Sifa ya hapo baadae Vilabu kuongezeka kwenye ligi za CAF.

TFF hii ndiyo itakayoendelea kupata 10% ya kila fedha ambayo Simba itapata kwa kuvuka kila hatua na kuzitumia pesa hizo kwa maendeleo ya Soka Tanzania.

Fikiria kuanzia hatua ya Makundi TFF imepata zaidi ya Milioni 200 kupitia mafanikio ya Simba kutoka CAF.

Al Ahly walikuwa na viporo si chini ya saba.

JS Saoura, As Vita nao walikuwa na viporo si chini ya saba...tatizo liko wapi??..

Ni kweli TFF inataka kukwepa lawama za Viporo huku ikipoteza mambo muhimu kabisa kwa Taifa kuelekea mechi za CAF..??

TFF tafadhalini sana...Msichoke kuisaidia Simba kwa manufaa ya Taifa.

Haijalishi walisema walitaka kufika Robo Fainali ya Klabu Bingwa hivyo nanyi Mjitosheleze kuwa Inatosha kuipa nafasi Simba ya kujiandaa.

Lawama mnazozikimbia zinaweza kuwaandama maradufu.

Chiki Mchoma.
Fanani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii iskupea wasiwasi mkuu. Si umeona juzi karibia wachezaji 7 first 11 hawakucheza na mtu kachezea 3. Hata tff wakisema simba wacheze kila siku haina noma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa maada ni mamluki katika soka, huu mchezo hauhitaji watu wa mfano wako
Yaani unatetea viporo kisa tuu timu yako ya Simba, hebu angalia epl kule atleast ujifunze, ninyi ndio mnasababisha hii ligi ikose mvuto, viporo zaidi ya 5 ni upopoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TFF haijaionea simba. Ni wakati mzuri wa Kocha awatumie wachezaji wanaokaa sana benchi. Achanganye wale ambao hawakucheza mechi ya Mbao mbona ushindi upo. (Dida, Kwasi, Gyan, Mlipili, Juuko, Mzamiru, Niyonzima, Ndemla, Salamba, Okwi na Mo)
kweli, achezehse hata kikosi cha pili, sisi wabongo tupo ka bamia, legelege mno, alafu wachezaji wengi wanapiga punyeto ndio manaa hawamudi kucheza mdaa mrefu.
 
Mtoa maada ni mamluki katika soka, huu mchezo hauhitaji watu wa mfano wako
Yaani unatetea viporo kisa tuu timu yako ya Simba, hebu angalia epl kule atleast ujifunze, ninyi ndio mnasababisha hii ligi ikose mvuto, viporo zaidi ya 5 ni upopoma

Sent using Jamii Forums mobile app
Man U imecheza jumamosi na jana jumanne, kweli kupumzika ssiku bili tu.
ila uhalisia ni kwamba, mfano Simba ikichwza mwanza mechi moja na mechi inayofuata say ipo mtwara[ndanda] basi watasafiri kwa siku mbili, ukiweka na ile ya kupumzika ni siku tatu, ukiweka ile siku waliyocheza mechi ni siku nne, sasa hapo ndio maan tunakuwa na viporo.
ulaya wanatumia treni SGR, dakika 30 ushafika jiji lingine, hata uingereza na ufaransa ni masaa 5 ambayo kwa bongo ni Posta mpaka kibaha.

sisi tupambane na hali zetu, UKISEMA TANZANIA UMESEMA SIMBA NA SIMBA NDIO TANZANIA
 
ushawai kuona ligi gani mtu anafikisha viporo hadi mechi 10..

weka table za ligi za timu zote nane zilizofika robo fainali.. kisha tuone kama ligi za nchi nyingine zinaruhusu viporo.. kisa unacheza klab bingwa...
Mwaka juzi yanga ilikua na viporo 4 au 5 Manara pua zilimsimama mate yalimtoka kwa maneno,,,mbona wezetu wanacheza j'mosi wakati jumanne anacheza tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna unailaum sana TFF?Kwan Simba ni timu ya Taifa mpka useme ni TFF iingilie Kati?
 
Je unaweza kufananisha jiografia, ukubwa na hali ya usafiri wa nchi hizo na Tanzania?
ushawai kuona ligi gani mtu anafikisha viporo hadi mechi 10..

weka table za ligi za timu zote nane zilizofika robo fainali.. kisha tuone kama ligi za nchi nyingine zinaruhusu viporo.. kisa unacheza klab bingwa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom