[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanapiga punyeto!kweli, achezehse hata kikosi cha pili, sisi wabongo tupo ka bamia, legelege mno, alafu wachezaji wengi wanapiga punyeto ndio manaa hawamudi kucheza mdaa mrefu.
Yaani tena aliipiga kelele kweli pamoja na mashabiki wake.Mwaka juzi yanga ilikua na viporo 4 au 5 Manara pua zilimsimama mate yalimtoka kwa maneno,,,mbona wezetu wanacheza j'mosi wakati jumanne anacheza tena
Sent using Jamii Forums mobile app
HAKIKA MKUBWAMungu yupo upande wetu...
Mwaka juzi yanga ilikua na viporo 4 au 5 Manara pua zilimsimama mate yalimtoka kwa maneno,,,mbona wezetu wanacheza j'mosi wakati jumanne anacheza tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa ana chuki binafsi na klabu ya SimbaHivi TFF inaweza kuhamasisha mashabiki wajae Kwa mkapa na wakafika hata mia tatu? TFF inaweza kuwapa fedha simba wakamsajili Zana coulbaly? Msaada wa TFF kwa vilabu unaufahamu?