kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kati ya TFF na wanachama wa Yanga ni nani mwenye timu? ni nani mwenye uchungu na timu?
Yanga kwa sasa ina shida ya pesa na mdhamini lakini sio Mwenyekiti wala viongozi. Timu ya Yanga kipaumbele chake kwasasa sio uchaguzi bali pesa.
TFF iisaidie Yanga namna ya kupata pesa na mdhamini mwenye hela kama mo ili kuwalipa wachezaji wa Yanga.
Timu ya Yanga iko vizuri uwanjani hawahitaji uchaguzi utakaosababisha yanga kufanya vibaya na kutoa nafasi kwa Simba na Azam (ni ndugu hawa) kitendo ambacho kitatafsiriwa na wadau wa Yanga kama mkakati wa kuidhoofisha Yanga uwanjani ili kuzipatia nafuu Simba na Azam kwenye ligi.
Itaonekana kama vile TFF inawaongezea nguvu wachezaji na mashabiki wa Simba na Azam uwanjani ili wapate matokeo.
Yanga waachwe wenyewe watafute njia na wakati mwafaka wa kufanya uchaguzi wao, maana kama ukiitisha mkutano mkuu leo wa wanachama wa Yanga uchaguzi wa Januari hautakuwa kipaumbele chao kwasaababu hawaoni uhusiano wa moja kwa moja kati uchaguzi huo na kupata pesa za kuendesha club yao.
Yanga kwa sasa ina shida ya pesa na mdhamini lakini sio Mwenyekiti wala viongozi. Timu ya Yanga kipaumbele chake kwasasa sio uchaguzi bali pesa.
TFF iisaidie Yanga namna ya kupata pesa na mdhamini mwenye hela kama mo ili kuwalipa wachezaji wa Yanga.
Timu ya Yanga iko vizuri uwanjani hawahitaji uchaguzi utakaosababisha yanga kufanya vibaya na kutoa nafasi kwa Simba na Azam (ni ndugu hawa) kitendo ambacho kitatafsiriwa na wadau wa Yanga kama mkakati wa kuidhoofisha Yanga uwanjani ili kuzipatia nafuu Simba na Azam kwenye ligi.
Itaonekana kama vile TFF inawaongezea nguvu wachezaji na mashabiki wa Simba na Azam uwanjani ili wapate matokeo.
Yanga waachwe wenyewe watafute njia na wakati mwafaka wa kufanya uchaguzi wao, maana kama ukiitisha mkutano mkuu leo wa wanachama wa Yanga uchaguzi wa Januari hautakuwa kipaumbele chao kwasaababu hawaoni uhusiano wa moja kwa moja kati uchaguzi huo na kupata pesa za kuendesha club yao.