GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni mwishoni mwa Wiki iliyopita tu GENTAMYCINE nilianzisha Uzi hapa wa ' Kukasirishwa ' na Kitendo cha Kocha wa Taifa Stars pamoja na TFF yake Kutomjumuisha Kikosini Kipa ' mahiri ' na Tanzania One Kwangu kwa sasa Golikipa wa Simba SC Aishi Salum Manula kwa sababu zao za ' Chuki ' Kwake na nikaonya kuwa kwa ' Ushahidi ' nilionao ya kwanini Manula alikuwa haitwi Kikosini kama asingeitwa katika Uteuzi wowote ule ujao basi ningeenda ' Kuwaanika ' Wahusika wote ili ' Waumbuke ' na Watanzania wawajue.
Nashukuru ya kwamba leo Kocha Mkuu wa Taifa Stars amemuita Kikosini Kipa Aishi Salum Manula kama ambavyo nilitaka hivyo nami GENTAMYCINE nasema rasmi kuwa sitoenda ' Kuwaumbua ' hao Wahusika Wakuu toka TFF ambao ndiyo walikuwa wakisababisha Aishi Manula asiitwe Taifa Stars. Nilikuwa nikishangaa na Kujiuliza mno ni kwanini Kipa Aishi Salum Manula ambaye yupo katika Kiwango chake bora kabisa kwa sasa kila Kocha akifanya Uteuzi wake alikuwa hamjumuishi / hamuiti Kikosini.
This is GENTAMYCINE.
Nashukuru ya kwamba leo Kocha Mkuu wa Taifa Stars amemuita Kikosini Kipa Aishi Salum Manula kama ambavyo nilitaka hivyo nami GENTAMYCINE nasema rasmi kuwa sitoenda ' Kuwaumbua ' hao Wahusika Wakuu toka TFF ambao ndiyo walikuwa wakisababisha Aishi Manula asiitwe Taifa Stars. Nilikuwa nikishangaa na Kujiuliza mno ni kwanini Kipa Aishi Salum Manula ambaye yupo katika Kiwango chake bora kabisa kwa sasa kila Kocha akifanya Uteuzi wake alikuwa hamjumuishi / hamuiti Kikosini.
This is GENTAMYCINE.