TFF mlichokifanya kwa Simba kuahirishiwa mechi mngekifanya kwa Kitayosa pia

TFF mlichokifanya kwa Simba kuahirishiwa mechi mngekifanya kwa Kitayosa pia

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kitayosa timu ngeni kwenye ligi yenye wachezaji 8 TU bila benchi la ufundi Wala mchezaji wa akina ililazimishwa kucheza na Azam kamili kwenye mchezo wa ligi kuu. Lakini Simba iliyokuwa na wachezaji 3 TU muhimu wenye mafua TFF na bodi ya ligi waliwakubalia kuahirisha mechi Yao kule Kagera na kuisogeza mbele. Kulikuwa na ugumu gani TFF na bodi ya ligi kuisogeza mechi mbele kidogo?

TFF hivi mna nini lakini?

Vitendo hivi mbali ya kuwa double standard lakini inazalisha washindi wa ligi legelege na mfungaji Bora bandia.

====

Mchezo wa Azam FC dhidi ya Kitayosce FC ya Tabora umemalizika kwa Azam FC kupata ushindi wa magoli 4-0, huku mchezo huo ukivunjika dakika ya 27 ya kipindi cha kwanza.

Kitayosce waliokuwa Wageni wa Azam FC katika uwanja wa Azam Complex, walianza mchezo huo kwa kuwa Wachezaji wanane uwanjani huku Azam FC wakiwa 11.

Wakati mchezo unaendelea golikipa wa Kitayosce na Mchezaji mmoja wa ndani aliumia hivyo mchezo ukashindwa kuendelea dakika ya 27 kutokana na kubaki 6 uwanjani na kanuni zinaruhusu mechi kuendelea endapo timu moja itakuwa na wachezaji kuanzia saba.

Hivyo kutokana na mchezo huo kuvunjika Azam FC anapata ushindi wa point 3 na magoli manne (Feitoto 3’ 9’ 13’ Dube 5’).
 
Kitayosa timu ngeni kwenye ligi yenye wachezaji 8 TU bila benchi la ufundi Wala mchezaji wa akina ililazimishwa kucheza na Azam kamili kwenye mchezo wa ligi kuu. Lakini Simba iliyokuwa na wachezaji 3 TU muhimu wenye mafua TFF na bodi ya ligi waliwakubalia kuahirisha mechi Yao kule Kagera na kuisogeza mbele. Kulikuwa na ugumu gani TFF na bodi ya ligi kuisogeza mechi mbele kidogo?

TFF hivi mna nini lakini?

Vitendo hivi mbali ya kuwa double standard lakini inazalisha washindi wa ligi legelege na mfungaji Bora bandia.
Simba walitoa taarifa tangu asubuhi kuwa idadi kubwa ya wachezaji wao ni wagonjwa, Kitayosa wametoa taarifa uwanjani, bado una hoja?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kuanzisha uzi bila kushirikisha akili ndio matatizo yake hayo. Tabora United walishiriki asubuhi kwenye prematch meeting na hawakuomba mechi iahirishwe.Sasa TFF iahirishe mechi kwa kigezo gani?
Kocha akihojiwa na Wasafi Media alisema kwamba walihakikishiwa na Uongozi wake kwamba kila kitu kiko sawa.
TFF kwenye hili hawana kosa na hawapaswi kulaumiwa.Blame only where blame is due.
 
Mimi nafahamu kuahirishwa kwa mechi wahusika (timu) wanaohitaji hivyo wanapaswa kuomba! Simba waliomba mechi iahirishwe, hao wanyamwezi wa Tabora waliomba wakakataliwa?
Tuwaulize kama waliomba lakini wakakataliwa, lakini TFF na bodi ya ligi ni wazazi na walezi wa timu zote, hivi wanaweza kumuacha mtoto anywe sumu hata kama hawakuombwa kumkataza asinywe sumu? TFF sio maroboti kwamba wana akili za kuwekewa. Wamejua kuwa timu ina wachezaji 8 bila mchezaji wa akiba, hivi walitegemea muujiza gani?
 
Kitayosa timu ngeni kwenye ligi yenye wachezaji 8 TU bila benchi la ufundi Wala mchezaji wa akina ililazimishwa kucheza na Azam kamili kwenye mchezo wa ligi kuu. Lakini Simba iliyokuwa na wachezaji 3 TU muhimu wenye mafua TFF na bodi ya ligi waliwakubalia kuahirisha mechi Yao kule Kagera na kuisogeza mbele. Kulikuwa na ugumu gani TFF na bodi ya ligi kuisogeza mechi mbele kidogo?

TFF hivi mna nini lakini?

Vitendo hivi mbali ya kuwa double standard lakini inazalisha washindi wa ligi legelege na mfungaji Bora bandia.

====

Mchezo wa Azam FC dhidi ya Kitayosce FC ya Tabora umemalizika kwa Azam FC kupata ushindi wa magoli 4-0, huku mchezo huo ukivunjika dakika ya 27 ya kipindi cha kwanza.

Kitayosce waliokuwa Wageni wa Azam FC katika uwanja wa Azam Complex, walianza mchezo huo kwa kuwa Wachezaji wanane uwanjani huku Azam FC wakiwa 11.

Wakati mchezo unaendelea golikipa wa Kitayosce na Mchezaji mmoja wa ndani aliumia hivyo mchezo ukashindwa kuendelea dakika ya 27 kutokana na kubaki 6 uwanjani na kanuni zinaruhusu mechi kuendelea endapo timu moja itakuwa na wachezaji kuanzia saba.

Hivyo kutokana na mchezo huo kuvunjika Azam FC anapata ushindi wa point 3 na magoli manne (Feitoto 3’ 9’ 13’ Dube 5’).
Kwa hili.la.mafua ndugu ni la upekee sanaa siunafahamu bado UVIKO upo
 
Kitayosa timu ngeni kwenye ligi yenye wachezaji 8 TU bila benchi la ufundi Wala mchezaji wa akina ililazimishwa kucheza na Azam kamili kwenye mchezo wa ligi kuu. Lakini Simba iliyokuwa na wachezaji 3 TU muhimu wenye mafua TFF na bodi ya ligi waliwakubalia kuahirisha mechi Yao kule Kagera na kuisogeza mbele. Kulikuwa na ugumu gani TFF na bodi ya ligi kuisogeza mechi mbele kidogo?

TFF hivi mna nini lakini?

Vitendo hivi mbali ya kuwa double standard lakini inazalisha washindi wa ligi legelege na mfungaji Bora bandia.

====

Mchezo wa Azam FC dhidi ya Kitayosce FC ya Tabora umemalizika kwa Azam FC kupata ushindi wa magoli 4-0, huku mchezo huo ukivunjika dakika ya 27 ya kipindi cha kwanza.

Kitayosce waliokuwa Wageni wa Azam FC katika uwanja wa Azam Complex, walianza mchezo huo kwa kuwa Wachezaji wanane uwanjani huku Azam FC wakiwa 11.

Wakati mchezo unaendelea golikipa wa Kitayosce na Mchezaji mmoja wa ndani aliumia hivyo mchezo ukashindwa kuendelea dakika ya 27 kutokana na kubaki 6 uwanjani na kanuni zinaruhusu mechi kuendelea endapo timu moja itakuwa na wachezaji kuanzia saba.

Hivyo kutokana na mchezo huo kuvunjika Azam FC anapata ushindi wa point 3 na magoli manne (Feitoto 3’ 9’ 13’ Dube 5’).
Kitayosce waliomba kuahirisha mechi?
 
Tuwaulize kama waliomba lakini wakakataliwa, lakini TFF na bodi ya ligi ni wazazi na walezi wa timu zote, hivi wanaweza kumuacha mtoto anywe sumu hata kama hawakuombwa kumkataza asinywe sumu? TFF sio maroboti kwamba wana akili za kuwekewa. Wamejua kuwa timu ina wachezaji 8 bila mchezaji wa akiba, hivi walitegemea muujiza gani?
Tatizo lako unaamua kwa moyo na sio kwa ubongo.Kanuni zinaruhusu timu kucheza na wachezaji 8.Hivi hao FIFA walioweka hiyo kanuni hawajui kwamba kuna timu inaathirika?Kanuni zinawekwa za nini kama hazitafuatwa?Kwanini Azam wasicheze mechi yao kwa kanuni kutofuatwa?
 
Tatizo Tabora United walifanya kwa mazoea walichukulia simple tu kisa wanae Rage,, sijawahi kuona viongozi wa timu wakifungiwa maisha kwa upangaji matokeo na timu isipate adhabu yoyote au matokeo kufutwa,, walizoea mbeleko na sasa limechanika
 
Kuanzisha uzi bila kushirikisha akili ndio matatizo yake hayo. Tabora United walishiriki asubuhi kwenye prematch meeting na hawakuomba mechi iahirishwe.Sasa TFF iahirishe mechi kwa kigezo gani?
Kocha akihojiwa na Wasafi Media alisema kwamba walihakikishiwa na Uongozi wake kwamba kila kitu kiko sawa.
TFF kwenye hili hawana kosa na hawapaswi kulaumiwa.Blame only where blame is due.
TFF haikujua kuwa Kitayosa haikusajili? haina kocha? kwanini wahakuhoji, kujiongeza? TFF ingetosha kusema Kitayosa imeshushwa daraja kwakuwa haina wachezaji badala ya kuruhusu timu icheze bila wachezaji, ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine.
 
Tatizo lako unaamua kwa moyo na sio kwa ubongo.Kanuni zinaruhusu timu kucheza na wachezaji 8.Hivi hao FIFA walioweka hiyo kanuni hawajui kwamba kuna timu inaathirika?Kanuni zinawekwa za nini kama hazitafuatwa?Kwanini Azam wasicheze mechi yao kwa kanuni kutofuatwa?
Simba wakati inaahirishiwa mechi yake dhidi ya kagera sugar haikuwa na wachezaji 8 wasiokuwa na mafua siku ile? hiyo kanuni ya FIFA haikuwepo?
 
TFF haikujua kuwa Kitayosa haikusajili? haina kocha? kwanini wahakuhoji, kujiongeza? TFF ingetosha kusema Kitayosa imeshushwa daraja kwakuwa haina wachezaji badala ya kuruhusu timu icheze bila wachezaji, ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine.
Kitoyose walikuwa na wachezaji wa kutosha kikanuni (8) ili mechi ichezwe.Baada ya kufungwa goli 4vna wachezaji wao wawili kuumia wakabaki 6 ndio mechi ikavunjwa kwa sababu kanuni haziruhusu.Kitayose ndio walitakiwa waombe mechi kuahirishwa na sio TFF.
 
 Mliihuj
TFF haikujua kuwa Kitayosa haikusajili? haina kocha? kwanini wahakuhoji, kujiongeza? TFF ingetosha kusema Kitayosa imeshushwa daraja kwakuwa haina wachezaji badala ya kuruhusu timu icheze bila wachezaji, ni upuuzi sawa na upuuzi mwingine.
Mliihujumu Pamba FC ya Mwanza mkafurahi, endeleeni kufurahia mbeleko ya TFF.
 
Simba wakati inaahirishiwa mechi yake dhidi ya kagera sugar haikuwa na wachezaji 8 wasiokuwa na mafua siku ile? hiyo kanuni ya FIFA haikuwepo?
Tatizo lako unashindwa kuelewa na kulinganisha case 2 tofauti.Simba waliomba mechi yao kuahirishwa, Kitayose hawakuomba.Ndio tofauti ya hizi scenario mbili ambazo unalazimisha zifanane.
 
Kitoyose walikuwa na wachezaji wa kutosha kikanuni (8) ili mechi ichezwe.Baada ya kufungwa goli 4vna wachezaji wao wawili kuumia wakabaki 6 ndio mechi ikavunjwa kwa sababu kanuni haziruhusu.Kitayose ndio walitakiwa waombe mechi kuahirishwa na sio TFF.
TFF walijiwa kuwa timu ilikuwa na shida na hawakutaka kujua kama shida imekwisha au laa

View: https://www.youtube.com/watch?v=cbZN05AZ840
 
Back
Top Bottom