GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
TFF mna Roho Mbaya sana na wala hamna Huruma. au mna Agenda yenu ya kutaka Watu wavurugane zaidi mapema yote hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mara zote anayeshona sanda huwa anaishonea maitiKosa silo la TFF....aliyezingua ni aliyeshona sanda mapema
Nakiona tena Kipigo kisichoepukika.Mkuu vipi mbona umejaa wasiwasi!!!!
Utaratibu umebadilishwa tokea mwaka jana, ngao ya jamii ni mechi inayohusisha timu 4 za top 4.Mimi mwenyewe kuna watu kadhaa nimewauliza kuhusu hili jambo na bado sijapewa jibu la kueleweka.
Ngao ya jamii si ilikuwa inachezwa kati ya Bingwa wa TPL/NBCL (Yanga) vs Bingwa wa kombe la FA (Azam)?
Na bado hata ukisema linachezwa kati ya Bingwa wa NBCL vs Mshindi wa pili wa NBCL bado Yanga na Simba hawawezi kukutana. Shwaini zao TFF!
Imewahi kutokea maiti akamkaba muoshaji, angalizo wasivae zile sanda.TFF mna Roho Mbaya sana na wala hamna Huruma. au mna Agenda yenu ya kutaka Watu wavurugane zaidi mapema yote hii?
Hili swali zuri sana, atupe ufafanuzi siku hiyo ni upande upi utakaokuwa umevaa Sanda?Anayevaa Sanda ni nani?
Mshaanza uoga sasa,si nyie Mwaka jana huu mfumo ulivyokuwa introduced mlifurahia sana na ngao mkabeba?Mimi mwenyewe kuna watu kadhaa nimewauliza kuhusu hili jambo na bado sijapewa jibu la kueleweka.
Ngao ya jamii si ilikuwa inachezwa kati ya Bingwa wa TPL/NBCL (Yanga) vs Bingwa wa kombe la FA (Azam)?
Na bado hata ukisema linachezwa kati ya Bingwa wa NBCL vs Mshindi wa pili wa NBCL bado Yanga na Simba hawawezi kukutana. Shwaini zao TFF!
Kodi gani hapo,anaevaa Sanda ni maiti tuu.Code ya mwenye akili mingi hii wa mbili mbili tukae kushoto😊
Aliyenunuliwa na mnunuajiAnayevaa Sanda ni nani?
Can i dare to talk openly?TFF mna Roho Mbaya sana na wala hamna Huruma. au mna Agenda yenu ya kutaka Watu wavurugane zaidi mapema yote hii?
So that you can get your BAN quickly.Can i dare to talk openly?
Aisee hili povu linaakisi kiwango cha uchungu na maumivu makali alichonacho mtani huyu. Simba inawaumiza sana mashabiki wake kupewa kipondo na Yanga ndani nje jumla 7-2. Jamaa anahitaji furaha japo ya kuipiga Yanga 2-2! Pole sana.We jamaa unamaneno machafu sijui ni mrangi, msambaa,muhehe,mnyiramba n.k hauko mbali sana na makabila yanayofanana na hayo ....alafu we sio mshabiki wa Simba sc..washabiki wa Simba sc hawanatabia kama zako..Nyie ndio wale mnaweza kuwaponda hata wanzazi wenu au mke kwa watu wengine... we ni mshamba tu enyewe na mtu ovyo kabisa
Nashukuru kwa kunisaidia kunijibia huyo damn Fool.Aisee hili povu linaakisi kiwango cha uchungu na maumivu makali alichonacho mtani huyu. Simba inawaumiza sana mashabiki wake kupewa kipondo na Yanga ndani nje jumla 7-2. Jamaa anahitaji furaha japo ya kuipiga Yanga 2-2! Pole sana.
Yanga imecheza Mpira mkubwa sana South, mpira wa sifa na hii ni hatari sana kwa vitimu vidogo vya ligi yetu kama JKT, Dodoma Jiji, Simba nk, itakuwa ni uonevu na kupigwa makonzi tu vikikutana na vijana toka jangwani!