Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na siku nikikuona unaisemea Simba sc kama mshabaki wa Simba sc..nitaku categorized kwenye wanaime ambao sio riziki..kwasababu wale wamekana mpaka maumbile yao hawaeleweki ...Sometimes we can use small behaviour to interpret your real character.
LogaNakiona tena Kipigo kisichoepukika.
MowaaaTFF mna Roho Mbaya sana na wala hamna Huruma. au mna Agenda yenu ya kutaka Watu wavurugane zaidi mapema yote hii?
Woii.m ntakuwa kwa kiboko ya wachawi naomb aaaa kupunguzwa magoli tusijeharibiana siku msimbaziAisee hili povu linaakisi kiwango cha uchungu na maumivu makali alichonacho mtani huyu. Simba inawaumiza sana mashabiki wake kupewa kipondo na Yanga ndani nje jumla 7-2. Jamaa anahitaji furaha japo ya kuipiga Yanga 2-2! Pole sana.
Yanga imecheza Mpira mkubwa sana South, mpira wa sifa na hii ni hatari sana kwa vitimu vidogo vya ligi yetu kama JKT, Dodoma Jiji, Simba nk, itakuwa ni uonevu na kupigwa makonzi tu vikikutana na vijana toka jangwani!
Duke Abuya , Dube,Ki na Aucho wakiwemo kikosini tarehe 8 vilio vitatawala kwa makolo, niko paleee maskani Buza Mpalanger!!
VasculanaaHii ni bipolar si bure
HIZI NDIO GOLI ZINAFUNGWA NA YANGA SIKUHIO ACHILIA USHINDIAMkuu vipi mbona umejaa wasiwasi!!!!