Itoshe kusema kitendo cha kuwasimamisha waaamuzi waliochezesha Mechi ya TPL kati ya SIMBA SC na KMC ambao ni Bw.Kambuzi na wasaidizi wake kimekuwa Kaburi/Hujuma/Hitimisho la mechi za Simba SC kuchezeshwa kwa sheria 17 za soka.
Waaamuzi wanachezesha mechi za Simba kwa woga huku wakiiiminya Simba kuogopa rungu la TFF. Nasema kitendo hiki kilichofanywa na TFF ambacho mimi nakiita uhujumu wa mechi za Simba, kimeanza kuzaa matunda ambayo TFF walitaka. Wachezaji wa Simba wameanza kuuumizwa Maksudi na Waaamuzi hawachukui hatua stahiki, Simba inanyimwa FAULO za wazi nyote mnajua ingawa mmekaa kimia.
Tujiulize TFF ilikusudia nini kuchukua maamuzi yale kwa Kambuzi bila kusubiri kamati ya saa 72.
JE, MWAMWUZI wa Azam vs YANGA aliyekataa Goli la Donald Ngoma na kuchezesha mechi nzima bila kufuata sheria 17 mbona hajachukuliwa hatua mpaka sasa?
Je kilichotokea jana kule Mbeya kwa uchezaji usio wa Kiungwana Mbeya City dhidi ya Simba mmechukua hatua gani.
Mpango wenu huu nyie TFF hautafanikiwa kwa Simba hii iliyojaa Wachezaji, Viongozi na Wananchama wenye akili kuliko nyie. Mlikosoma hiyo mbinu chafu sisi ndio walimu. Mchezo mzima unafahamika mpaka waliotekeleza hivyo jihadharini sana na Simba SC itawapeleka walipo akina Malinzi et Al.
SIMBA NGUVU MOJA DAIMA.
Waaamuzi wanachezesha mechi za Simba kwa woga huku wakiiiminya Simba kuogopa rungu la TFF. Nasema kitendo hiki kilichofanywa na TFF ambacho mimi nakiita uhujumu wa mechi za Simba, kimeanza kuzaa matunda ambayo TFF walitaka. Wachezaji wa Simba wameanza kuuumizwa Maksudi na Waaamuzi hawachukui hatua stahiki, Simba inanyimwa FAULO za wazi nyote mnajua ingawa mmekaa kimia.
Tujiulize TFF ilikusudia nini kuchukua maamuzi yale kwa Kambuzi bila kusubiri kamati ya saa 72.
JE, MWAMWUZI wa Azam vs YANGA aliyekataa Goli la Donald Ngoma na kuchezesha mechi nzima bila kufuata sheria 17 mbona hajachukuliwa hatua mpaka sasa?
Je kilichotokea jana kule Mbeya kwa uchezaji usio wa Kiungwana Mbeya City dhidi ya Simba mmechukua hatua gani.
Mpango wenu huu nyie TFF hautafanikiwa kwa Simba hii iliyojaa Wachezaji, Viongozi na Wananchama wenye akili kuliko nyie. Mlikosoma hiyo mbinu chafu sisi ndio walimu. Mchezo mzima unafahamika mpaka waliotekeleza hivyo jihadharini sana na Simba SC itawapeleka walipo akina Malinzi et Al.
SIMBA NGUVU MOJA DAIMA.