TFF mmemkalia kimya Msemaji wa Yanga sasa madhara yake ni haya

Hizo tuhuma wengi wanazisema sio wapinzani tu bali hata mashabiki na wapenzi wa simba baadhi yenu ukweli mnaujua, hebu angalia na hii ya edo
 

Attachments

  • Screenshot_2019-03-23-22-24-35.png
    29.8 KB · Views: 21
Mapunga yamekuwa mengi. Linajulikana wewe. ANTI.
 
Umepitia sehemu zote ukahakikisha Dismas alikuwa wa kwanza?
After all, kama hayana ukweli, shida iko wapi? Si muyapuuze tu?
 
Umepitia sehemu zote ukahakikisha Dismas alikuwa wa kwanza?
After all, kama hayana ukweli, shida iko wapi? Si muyapuuze tu?
Uwezi kuyapuuza kwasababu zahera kayameza ivyo ivyo nae kaeneza propaganda kwa Wacongo wenzie wanatoa shutuma kwenye mitandao ya udaku...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepitia sehemu zote ukahakikisha Dismas alikuwa wa kwanza?
After all, kama hayana ukweli, shida iko wapi? Si muyapuuze tu?
Uwezi kuyapuuza kwasababu zahera kayameza ivyo ivyo nae kaeneza propaganda kwa Wacongo wenzie wanatoa shutuma kwenye mitandao ya udaku...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Hizo tuhuma zote ni kutokana na mafanikio tu ya Simba SC , nikawaida ukiona nyani mzee ujue amekwepa mishale mingi. Vyama vya soka vifanyie uchunguzi ili hayo madai yasiwepo tena miaka inayokuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo yasipuuzwe.. ila usiwe wivu wa mafanikio ya simba
 
KIMA /NYANI??FAFANUAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…