Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa...
HahahahaYule msomali anavyopenda fweeeza anaweza akaingia vitani
Kanisa Katoliki wameshauri tu au wamewalazimisha TFF?Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar. Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa.
Tumewasikia Kanisa Katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake". TFF himizeni wanaokwenda kuangalia mpira uwanjani wavae barakoa kwa kuanzia na ikiwezekana "social distancing'.
Kauli yenu moja inaweza kuokoa uhai wa watu wengi.
Mkuu, tunapaswa kufuata maelekezo ya serikali kupitia wizara ya afya na sio kila mtu akijisikia.Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar. Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa.
Tumewasikia Kanisa Katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake". TFF himizeni wanaokwenda kuangalia mpira uwanjani wavae barakoa kwa kuanzia na ikiwezekana "social distancing'.
Kauli yenu moja inaweza kuokoa uhai wa watu wengi.