TFF Mnajitekenya, Sote Tunajua Hamuwezi Kumfanya Chochote Rais Wa Yanga Eng. Hersi Said.

Lakini adhabu ilisema Manara asijihusishe na “any sports related activity” sasa sidhani kama kuna pahala pamepinda… Help me understand.
Any sports related activities hata kupiga danadana nayo its related. Una mamlaka ya kumzuia asipige danadana.unaitambua danadana katika kalenda yako?
 
Tunajipa ubusy kwa mambo yasiyo na maana hiyo ndiyo tabia ya mswahili.
 
Inawasaidia nini kama timu? Jana mmedhalilishwa na katimu kadogo la Uganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…