bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Kauli ya Raisi wa Tff leo ukitaka kuandaa Ndondo cup lazima upitie na upate kibali kutoka kwao.kwa hili hata siku zijazo Somalia watakua juu yetu kisoka kwenye rank za Fifa.
Wameona bwana flani anafaidi sana nini?vijana tukimbilie wapi tena hata kwenye Ndondo cup mnatuwekea kauzibe!tungezijua wap kauzu fc,abajalo fc?mkitaka nanyi mashindano yenu yapendwe basi mjitaidi kuyaboresha na sio kuanza kuwawekea wadau wengine wa soka giza.
Muulize Suarez yule wa Barcelona aliyefunga goli la kwanza dhidi ya madrid la pili likifungwa na Messi na msumari wa Tatu ukigongwa na Vidal.Suarez hajawahi kucheza michezo yoyote inayotambuliwa na chama cha soka cha nchi yake katoka kupitia Street football ila leo ni hatari nyingine.
Muulize Gabriel Jesus kacheza Ndondo cup mara ngapi karibu na ufukwe wa Copacabana kule Brazil je chama cha soka cha Brazil kinazijua hizo ndondo cup?vipaji vya mpira vipo ngazi za chini ambazo hata hazitambulika na nyie Tff.
Tengenezeni sera madhubuti ya kukuza mpira wetu na sio kuanza kupiga kelele na ndondo cup.
Wameona bwana flani anafaidi sana nini?vijana tukimbilie wapi tena hata kwenye Ndondo cup mnatuwekea kauzibe!tungezijua wap kauzu fc,abajalo fc?mkitaka nanyi mashindano yenu yapendwe basi mjitaidi kuyaboresha na sio kuanza kuwawekea wadau wengine wa soka giza.
Muulize Suarez yule wa Barcelona aliyefunga goli la kwanza dhidi ya madrid la pili likifungwa na Messi na msumari wa Tatu ukigongwa na Vidal.Suarez hajawahi kucheza michezo yoyote inayotambuliwa na chama cha soka cha nchi yake katoka kupitia Street football ila leo ni hatari nyingine.
Muulize Gabriel Jesus kacheza Ndondo cup mara ngapi karibu na ufukwe wa Copacabana kule Brazil je chama cha soka cha Brazil kinazijua hizo ndondo cup?vipaji vya mpira vipo ngazi za chini ambazo hata hazitambulika na nyie Tff.
Tengenezeni sera madhubuti ya kukuza mpira wetu na sio kuanza kupiga kelele na ndondo cup.