nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Hivi TFF mnajielewa kweli?? Kwenye mechi inayoendelea Vs Burundi kwanini Jezi ya Mbwana samatta na Jonas Mkude zinatofautiana na wengine??
Jezi ya samatta na Mkude hazina maandishi TAnzania mgongoni kama wengine Kwanini??
Mnaliona dogo Hilo??
Huu ni upuuzi.
Jezi ya samatta na Mkude hazina maandishi TAnzania mgongoni kama wengine Kwanini??
Mnaliona dogo Hilo??
Huu ni upuuzi.