Yanga ni vichaa aisee, kimbia kama upo mitaa Hiyo. Timu gani inaongozwa na mganga mwinyi zahera??Ingefanya Yanga ingekuwa big issue, nakumbuka jezi zilitofautiana rangi Kwenye neno sportpesa, ikawa issue kubwa kwa wachambuzi.
Yanga ni vichaa aisee, kimbia kama upo mitaa Hiyo. Timu gani inaongozwa na mganga mwinyi zahera??
TFF Kwa chura Wapo sahihi.
Karia is a biggest trouble maker!Hivi TFF mnajielewa kweli?? Kwenye mechi inayoendelea Vs Burundi kwanini Jezi ya Mbwana samatta na Jonas Mkude zinatofautiana na wengine??
Jezi ya samatta na Mkude hazina maandishi TAnzania mgongoni kama wengine Kwanini??
Mnaliona dogo Hilo??
Huu ni upuuzi.
Mwinyi anawatesa sanaYanga ni vichaa aisee, kimbia kama upo mitaa Hiyo. Timu gani inaongozwa na mganga mwinyi zahera??
TFF Kwa chura Wapo sahihi.
Mwinyi amewageuza Wana chura kuwa misukule/mandondocha, Nina uhakika Kwa hivi visenti anavyoichangia club hii maskini basi hata akifungwa mechi zote za ligi hakuna atakayenyanyua mdomo kuuliza!Mwinyi anawatesa sana
Mwinyi anawatesa sana
We utakuwa mgonjwa wa akili,kwani analazimishwa kutoa?Mwinyi amewageuza Wana chura kuwa misukule/mandondocha, Nina uhakika Kwa hivi visenti anavyoichangia club hii maskini basi hata akifungwa mechi zote za ligi hakuna atakayenyanyua mdomo kuuliza!
Hizi hela anazotoa ni hongo shtukeni nyie churaaa
Ujinga ujinga tu,na saizi tifuatifua kuanzia mtunza maua hadi Alshabab wote mbumbumbuYaani Mikia hawalali wanavyoteseka na Mwl Zahera, mara wanaishawishi TFF itunge kanuni ya pensi kwa mtu mmoja huku kocha wa Ruvu akiwa amevaa pensi anaachwa! Mikia muonage na aibu! Nyie kocha wenu anavaa shati la mtumba alilonunua Karume mbona hatungiwi kanuni?
Kama Manchester united, Liverpool, Arsenal, Buyern Munich .......Manguo mekundu si ndo ya walozi na wachawi.
Rage hakukosea kabisa kubishana na mbumbumbu ni shida sanaSoma uelewe wewe chura nimesema kuwa hizo hela ni hongo, kitu kidogo tuu huelewi??
Kamongoo weee