TFF mnawaogopa Nini Simba, wafungieni kusajili kama kanuni inavotaka

TFF mnawaogopa Nini Simba, wafungieni kusajili kama kanuni inavotaka

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Simba umeshindwa kesi ya Awesu. Hairuhusiwi team kuongea na mchezaji kabla miezi 6 kwenye mkataba wake lakini Simba walifanya hivo

Simba walimrubuni Awesu na kumtorosha Awesu. Simba walimpeleka Awesu Egypt pre season

Simba walimtambulisha Awesu Simba day. Awesu alivaa jezi ya Simba na kumchezesha mechi zao

Simba ndo walimpa Awesu million 50 eti avunje mkataba usio vunjika. Sasa kwanini TFF wanasema hawana ushahidi kama Simba ndo walimshawishi Awesu mwenye mkataba na KMC

Simba wafungiwe kusajili kama kanuni inavosema
 
Simba umeshindwa kesi ya Awesu
Hairuhusiwi team kuongea na mchezaji kabla miezi 6 kwenye mkataba wake lakini Simba walifanya hivo

Simba walimrubuni Awesu na kumtorosha Awesu
Simba walimpeleka Awesu Egypt pre season
Simba walimtambulisha Awesu Simba day
Awesu alivaa jezi ya Simba na kumchezesha mechi zao
Simba ndo walimpa Awesu million 50 eti avunje mkataba usio vunjika

Sasa kwanini TFF wanasema hawana ushahidi kama Simba ndo walimshawishi Awesu mwenye mkataba na KMC

Simba wafungiwe kusajili kama kanuni inavosema
Drama hii nchi hazitaisha, wanatoa onyo wakati sio kesi inayostahili adhabu ya onyo. Shamefully creatures.
 
Mbaya zaidi Tff Wana copy za mikataba ya wachezaji na Bench la ufundi ya wachezaji wote wanao shiriki NBC premier league.
Walikua wanajua Simba wamemchezesha mchezaji mwenye mkataba na KMC.
Lini na mechi ipi simba wamemchezesha awesu?
 
Simba na Yanga adhabu zao ni vifaini vya vijisenti tu
 
Wewe kweli ndo Rage alivowaita mbumbumbu alikuwa sahihi.

Kwaiyo friendly matches Simba walitumia wachezaji wa Namungo
Hayo ni mabonanza mchezaji wa team yoyote anaruhusiwa kucheza ata wewe ukipewa nafasi unacheza hautakuta record ya simba kucheza friend mechi tff shida wajinga wanajiona wana akili na ndio watanzania wengi tulivyo.
 
Hayo ni mabonanza mchezaji wa team yoyote anaruhusiwa kucheza ata wewe ukipewa nafasi unacheza hautakuta record ya simba kucheza friend mechi tff shida wajinga wanajiona wana akili na ndio watanzania wengi tulivyo.
Umemaliza. Thread closed
 
Hayo ni mabonanza mchezaji wa team yoyote anaruhusiwa kucheza ata wewe ukipewa nafasi unacheza hautakuta record ya simba kucheza friend mechi tff shida wajinga wanajiona wana akili na ndio watanzania wengi tulivyo.
Hivi kweli wewe uko timamu
Yani friendly matches ndo unajiokotea watu wanatwangwa tu.
Kwaiyo mchezaji wa KMC amechukuliwa na Simba,
akaja Kambi, kwani KMC hawakuwa na Kambi.
 

Attachments

  • IMG_7088.png
    IMG_7088.png
    6.3 MB · Views: 4
Back
Top Bottom