TFF mnawaogopa Nini Simba, wafungieni kusajili kama kanuni inavotaka

Acha udwazi
 
Drama hii nchi hazitaisha, wanatoa onyo wakati sio kesi inayostahili adhabu ya onyo. Shamefully creatures.
Uko sahihi.

Ndio maana naendelea kusema TFF NI GENGE LA WAHUNI WALIOJIFICHA KWENYE UONGOZI WA SOKA.

LIGI KUU KANUNI TOLEO LA 2023, Kanuni ya 47: inayohusu UDHIBITI KWA KLABU sehemu ya 21 imetaja wazi timu husika itakabiliwa na adhabu ya faini na/au zuio la usajili kwa kipindi kimoja mpaka vitatu vya usajili.

 
Ndo ivo TFF na Simba lao 1
 
Mpira wa kibongo uhuni mwingi.
 
Huo mkataba umewahi kuuona au umeamua kuja hapa na sheria ya kuwafurahisha ili mjichekelee humu ndani?

Vipi kama Awesu aliruhusiwa kuvunja mkataba na kipengele kimojawapo kwenye huo mkataba? hiyo sheria uliyoandika hapo itakuwa na maana gani?!

Mjifunze kufikiria nje ya box kwenye mambo yanayohusu mikataba, sio mnatoa majibu tu kwa kitu msichokijua kinasemaje.
 
Kwani waliokuwa wanajadili hili sakata na kutoa majibu kuwa Awesu ni mchezaji halali wa KMC hawakupitia mkataba wa Awesu na KMC?
 
Hayo ni mabonanza mchezaji wa team yoyote anaruhusiwa kucheza ata wewe ukipewa nafasi unacheza hautakuta record ya simba kucheza friend mechi tff shida wajinga wanajiona wana akili na ndio watanzania wengi tulivyo.
Kuna mambo kadhaa ya msingi sana yaliyojitokeza kwa Simba na Awesu.
1) Akaunti rasmi kabisa ya klabu ya Simba iliripoti imemsajili Awesu
2) Siku ya Simba day, Awesu alitambulishwa kuwa ni mchezaji wa Simba na mwisho wa siku akatumika kwenye mechi ya Simba vs APR. Umetoa mfano wa bonanza wakati unaona kabisa kuna utambulisho wa mchezaji umefanyika.
 
Ukiona hivyo jua hiyo kamati haina watu wenye uelewa na maswala ya mikataba.
Hivi timu zimeleta kesi unaziambiaje zikaelewane wakati Sheria zipo?
Inawezekana Simba ana haki Ila wametoa hukumu ya kubalance Mambo.
 
Wengi wanatoa hoja kwa kurupuka lakini Kama kipengele cha kuvunja mkataba ni milioni 50 kwanini Kmc wadai milioni 200 SEMA Simba viongozi wao wazembe hii kesi wangeipeleka mbali. Swala la Lawi mpaka Sasa hawajatolea majibu
 
Mbaya zaidi Tff Wana copy za mikataba ya wachezaji na Bench la ufundi ya wachezaji wote wanao shiriki NBC premier league.
Walikua wanajua Simba wamemchezesha mchezaji mwenye mkataba na KMC.
Walimchezesha mechi ipi?
 
Hii ligi yetu ukiwachukua wale wanao isimamia EPL,La Liga,Bunasliga,Serie A halafu ukiwambia haya matukio ya mikataba wanaweza wakatucheka na kutushangaa. Ila ndio hivyo mwendo wa uhuni uhuni.
 
Kwani waliokuwa wanajadili hili sakata na kutoa majibu kuwa Awesu ni mchezaji halali wa KMC hawakupitia mkataba wa Awesu na KMC?
Bado hujajibu swali langu linabaki pale pale.
 
Wengi wanatoa hoja kwa kurupuka lakini Kama kipengele cha kuvunja mkataba ni milioni 50 kwanini Kmc wadai milioni 200 SEMA Simba viongozi wao wazembe hii kesi wangeipeleka mbali. Swala la Lawi mpaka Sasa hawajatolea majibu
Awesu sio mjinga atake kuondoka KMC bila mkataba wake kuruhusu, anakijua alichofanya na ndio maana nimeona mahali amegoma kurudi KMC akidai bora arudi visiwani akafanye mishe nyingine.
 
Kutambulisha mchezaji sio kitu rasmi kwa tff mpaka umemuingiza mchezaji kwenye mfumo unaotumika ambao unao vigezo na ukishindwa kutimiza vigezo mchezaji aingii humo.
 
Awesu sio mjinga atake kuondoka KMC bila mkataba wake kuruhusu, anakijua alichofanya na ndio maana nimeona mahali amegoma kurudi KMC akidai bora arudi visiwani akafanye mishe nyingine.
Kwahiyo waliyotoa hukumu kuwa Awesu ni mali ya KMC hawajui sheria kuhusu vipengele vilivyopo kwenye mikataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…