tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,491
Ligi kuu imemalizika Leo kwa timu zote za Ligi kuu kucheza mchezo wa mwisho na timu mbili kushuka daraja na timu ya tatu kupambanishwa na timu za Daraja la kwanza ili kupata timu itakayoshuka na timu itakayopangwa
Utaratibu huo kiukweli naushangaa kwasababu unapambanisha timu za madaraja mawili tofauti sijui hapo TFF wanapima Nini hata sijawaelewa.
Tunaonga kule Uingereza timu tatu zinashuka Daraja na kupanda timu tatu na hizo timu zinazopanda mbili zinapanda moja kwa moja ila moja ndiyo wanapambanishwa timu kadhaa kwa kucheza playoff na kupata mshindi mmoja ambaye anaungana na zile timu mbili na kupanda ligi kuu.
Sasa hapa Tanzania timu Kama Kagera Sugar wakacheze na Geita FC kupata mshindi wa kupanda daraja naona kabisa happy ni kumuonea kwa wazi kabisa Geita FC ukizingatia Kagera Sugar wanauzoefu mkubwa wa ligi kuu.
Utaratibu huo kiukweli naushangaa kwasababu unapambanisha timu za madaraja mawili tofauti sijui hapo TFF wanapima Nini hata sijawaelewa.
Tunaonga kule Uingereza timu tatu zinashuka Daraja na kupanda timu tatu na hizo timu zinazopanda mbili zinapanda moja kwa moja ila moja ndiyo wanapambanishwa timu kadhaa kwa kucheza playoff na kupata mshindi mmoja ambaye anaungana na zile timu mbili na kupanda ligi kuu.
Sasa hapa Tanzania timu Kama Kagera Sugar wakacheze na Geita FC kupata mshindi wa kupanda daraja naona kabisa happy ni kumuonea kwa wazi kabisa Geita FC ukizingatia Kagera Sugar wanauzoefu mkubwa wa ligi kuu.