TFF mnazionea timu za Daraja la kwanza kucheza playoff na timu za Ligi kuu ili kupanda daraja au kushuka

TFF mnazionea timu za Daraja la kwanza kucheza playoff na timu za Ligi kuu ili kupanda daraja au kushuka

Mfumo huu si mpya hapa nchini uliwahi kutumiwa miaka mingi nyuma wakati kuna ligi daraja la kwanza ikihusisha mabingwa wa Kanda ambao hukutana ili kupanda daraja.


Maji Maji iliwahi kunufaika na mfumo huu baada ya kushuka daraja ilikwenda kupambana moja kwa moja na mabingwa wa kanda na kurudi ligi kuu.

Hii Mara nyingi hutumika timu zinapoongezeka kwa kweli kupandisha timu 4 toka ligi daraja la 1 kwenda premier ni mtihani timu nyingi zitakuwa vituko.
 
Myweather hawezi kupigana na Joshua au Tyson
[/QUOTE
Ukitaka kuwa na hadhi ya Tyson. Kuwa na uzito Kama wa Tyson Kisha upigane kwenye uzito wake,umpige,uwe na hadhi yake. Kama hataki atabaki kwenye uzito wake.

Ligi kuu inatakiwa iwe na timu yenye hadhi ya ligi kuu. Kama timu iko ligi daraja la Kwanza inataka iende ligi kuu inatakiwa ipambane na timu inayoonekana dhaifu ligi kuu.

Kama timu bora ya FDL inaishindwa timu ya dhaifu ya ligi kuu Basi ibaki huko huko. Haina hadhi ya ligi kuu
 
Back
Top Bottom