Benjamin10 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2016 Posts 409 Reaction score 598 Dec 16, 2022 #21 Yupo uwanjan now
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Dec 16, 2022 #22 Apostle kuna muujizaaa!!!! Nini Kimetokea?? Ibanezafrica alitabiri kwamba kuna siku utaenda kuutakasa uwanja wa taifa.
Apostle kuna muujizaaa!!!! Nini Kimetokea?? Ibanezafrica alitabiri kwamba kuna siku utaenda kuutakasa uwanja wa taifa.
I ibanezafrica JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 7,261 Reaction score 6,553 Dec 17, 2022 Thread starter #23 Hatimaye tff wamesikia kilio chetu wananchi. Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
tyc JF-Expert Member Joined Feb 25, 2014 Posts 1,179 Reaction score 2,971 Dec 17, 2022 #24 ibanezafrica said: Hatimaye tff wamesikia kilio chetu wananchi. Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app Click to expand... Wananchi vp tena, mbona mmekuwa wepesi kusahau..!?? Mbona goli la Al Hilal lilifungwa upande huo wa kusini!!! Zanaco alichana bikini ya Mwananchi na kusokomeza mipini miwili upande huo wa kusini 😀 Na alibakiza goli moja tu akamilishe pakti tatu za cond-Hom Rivers Utd nae upande ule ule akafungulia koki Vipers nao waliwadonyoa upande huo huo
ibanezafrica said: Hatimaye tff wamesikia kilio chetu wananchi. Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app Click to expand... Wananchi vp tena, mbona mmekuwa wepesi kusahau..!?? Mbona goli la Al Hilal lilifungwa upande huo wa kusini!!! Zanaco alichana bikini ya Mwananchi na kusokomeza mipini miwili upande huo wa kusini 😀 Na alibakiza goli moja tu akamilishe pakti tatu za cond-Hom Rivers Utd nae upande ule ule akafungulia koki Vipers nao waliwadonyoa upande huo huo