TFF msameheni Manara

Ungekuwa na akili usingeandika huu utetezi.

Manara ni nani ktk Sola la Tz?

Kwani bila Manara soka halitaendelea?
 
Unampa mtu msamaha leo kesho anatoka kwenye media kukusagia kunguni?
Sema tu manara kapanda mtumbwi wa vibwengo
 
Lile wenge lenu la Manara mkubwa zaidi ya TFF naona limekwisha, sasa subirini atandikwe, nashangaa TFF bado wapo kimya mpaka leo sijui tatizo nini.
 
Amina

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Afungiwe tu maisha ili kukomesha uchawa ktk soka..ili atafute kazi nyingine afanye
 
wache ajifunze adabu kwanza ili next time awe makini - si watu wote wa kuparamia paramia.
 
Tatizo la Manala ni kujikweza kupita kiasi.
Angejishusha akaomba radhi au kukata rufaa angeweza kusamehewa.
Kujikweza ni tabia ya viumbe wote wanaojiona kuwa ni dhaifu mbele ya wengine, hivyo wanapewa na mwenyezimungu tabia itayofidia udhaifu wa maumbile yao. Mfano, viumbe wenye umbo dogo porini wananguruma kwa sauti kubwa kuwatisha wengine kwa sauti zao, wengine wanakuwa na sumu Kali, wengine wanakimbia sana, wengine wanapewa hafuru mbaya. Watu wafupi na maumbile madogo huwa wanaongea na kucheka sana, kuvaa suti na macheni shingoni nk. Kwavyovyote vile tabia ya Haji inamsadia sana kuziba udhaifu wa ngozi na macho aliopewa na mwenyezimungu. Kwani jamii imezoea kuwaona watu wenye ualbino kama wanyonge, maskini, tegemezi, wanaokufa mapema, nk. Hivyo tusishangae sana kuwaona watu wenye ulemavu wa viungo wakiwa na nguvu sana kwenye viungo vingine kama mdomo, mikono, miguu, brain, nk, hii ni mwenyezimungu anawafidia kile alichowapunguzia.

Haji kwa maumbile yake hawezi kwenda kusukuma mkokoteni juani, unapomfungua kazi yake ya kusema kwa miaka 2 na kutaka akulipe 20m sio sawa, na Mungu lazima atakuadhibu TU hapahapa duniani, upende usipende. Pale Simba walimdhulumu mlemavu (Manara) wakajuta hasara waliyoipata kwa kuondoka Haji. Mungu sio mjinga kwa kiasi hicho TFF wanavyomuona mlamavu Haji.

Kila anaemdhihaki mlemavu, mjane na mtoto Mungu hamuachi salama.
 
Huwezi kumsamehe mtu ambaye daily anampiga vijembe karia

Saizi katengeneza sumu kwa mashabiki wa Yanga na kweli wamekuwa poisoned wameanza kuiita Simba TFF
Kwenye hii adhabu TFF itapingana na kila mtu duniani anaewaonea huruma walemavu, except baadhi ya mashabiki wa Simba
 
wache ajifunze adabu kwanza ili next time awe makini - si watu wote wa kuparamia paramia.
Hakuna mkamilifu, ni kosa la kimichezo TU kwa wanamichezo waliokutana mchezoni,
 
Tatizo la Manala ni kujikweza kupita kiasi.
Angejishusha akaomba radhi au kukata rufaa angeweza kusamehewa.
Huo ndio ukweli.

Anaweza kuomba msamaha leo, Kesho anarudi kivingine - Ana uthubutu wa kuwawekea Kibesi wenye mamlaka (Rais wa TFF na Waziri).
Mbaya zaidi ni kwamba matatizo yake ya mtindio wa ubongo anayafanya kuwa ni matatizo ya Club
 
Huo ndio ukweli.

Anaweza kuomba msamaha leo, Kesho anarudi kivingine - Ana uthubutu wa kuwawekea Kibesi wenye mamlaka (Rais wa TFF na Waziri).
Mbaya zaidi ni kwamba matatizo yake ya mtindio wa ubongo anayafanya kuwa ni matatizo ya Club
Ni kanuni ipi ya mpira wa miguu ya TFF ameivunja inayomtaka alipe 20m na kufungiwa miaka 2?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…