njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Manara the greatest, the brightest, kijana mstarabu mwenye elimu yake nchi hii yaani degree mbili za south africa na china hajawahi kushindwa vita
Hii ni kwa sababu ana upako wa Mungu yaani ni mpakwa mafuta, wapo waliojaribu kushindana naye waliufyata wenyewe
Barbara sasa hivi ana migogoro kila kukicha, Mo dewji kafunga kiwanda Tanga, Daud bashite kaufyata,January makamba alipigwa dongo moja twiter hajaiunua mdomo tena,Shaffih dauda alinusurika makonde pale hotelini kinshasa ashukuru Marehemu Hans pope alimuokoa, kitenge, prisca hao walikuwa pole mbele ya gwiji hilo linalojua soka ndani na nje
Hapo sijataja simba ambayo ishapoteza makombe baada ya gwiji kuondoka bila kusahau Malinzi aliyethubutu kumfungia gwiji miezi 12 kujihusisha na soka matokeo yake alienda jela bila kusahau ccm-dsm waliomsingizia gwiji kutapeli magari wakamvua cheo cha katibu mwenezi wakaishia kupelekewa pumzi ya moto uchaguzi wa 2015 na ukawa
Gwiji leo limeomba radhi lakini ni zuga tu TFF ndiyo walienda kwake wakuu wa shrikisho wakampigia magoti ila wakaomba sana afanye alivyofanya leo ili ionekane yeye ndiye kaomba radhi
Bahati yenu sana mngemgusa mngetambua Motsepe ni nani hata huo mkutano wa CAf Arusha ungeyeyeyuka maana juzi mmeonyeshewa action ndooogo ya kutangaziwa fainali ya super league ni dar es salaam ghafla ikarudiswa morroco si mnajua Motsepe alikasirika kusikia mnamsumbua manara?
Jamaa afrika inamfatilia kwa karibu sana kaipa simba makombe mfululizo na kuifanya ijulikane afrika na kwa sasa yanga anaenda kuipa kombe la afrika, CAF wanataka wamtumie kulileta kombe la dunia kwenye bara hili la giza lenye vioja na vihoja
Sasa karia ukome kabisa siyo kila mtu wa kumchezea chezea nchi hii , shauri zako cha kufanya zuga tu na faini ya laki tatu yaishe
Hii ni kwa sababu ana upako wa Mungu yaani ni mpakwa mafuta, wapo waliojaribu kushindana naye waliufyata wenyewe
Barbara sasa hivi ana migogoro kila kukicha, Mo dewji kafunga kiwanda Tanga, Daud bashite kaufyata,January makamba alipigwa dongo moja twiter hajaiunua mdomo tena,Shaffih dauda alinusurika makonde pale hotelini kinshasa ashukuru Marehemu Hans pope alimuokoa, kitenge, prisca hao walikuwa pole mbele ya gwiji hilo linalojua soka ndani na nje
Hapo sijataja simba ambayo ishapoteza makombe baada ya gwiji kuondoka bila kusahau Malinzi aliyethubutu kumfungia gwiji miezi 12 kujihusisha na soka matokeo yake alienda jela bila kusahau ccm-dsm waliomsingizia gwiji kutapeli magari wakamvua cheo cha katibu mwenezi wakaishia kupelekewa pumzi ya moto uchaguzi wa 2015 na ukawa
Gwiji leo limeomba radhi lakini ni zuga tu TFF ndiyo walienda kwake wakuu wa shrikisho wakampigia magoti ila wakaomba sana afanye alivyofanya leo ili ionekane yeye ndiye kaomba radhi
Bahati yenu sana mngemgusa mngetambua Motsepe ni nani hata huo mkutano wa CAf Arusha ungeyeyeyuka maana juzi mmeonyeshewa action ndooogo ya kutangaziwa fainali ya super league ni dar es salaam ghafla ikarudiswa morroco si mnajua Motsepe alikasirika kusikia mnamsumbua manara?
Jamaa afrika inamfatilia kwa karibu sana kaipa simba makombe mfululizo na kuifanya ijulikane afrika na kwa sasa yanga anaenda kuipa kombe la afrika, CAF wanataka wamtumie kulileta kombe la dunia kwenye bara hili la giza lenye vioja na vihoja
Sasa karia ukome kabisa siyo kila mtu wa kumchezea chezea nchi hii , shauri zako cha kufanya zuga tu na faini ya laki tatu yaishe