TFF msije kusema hamukuambiwa, Mechi ya Simba na Yanga kuchezwa tarehe 18/10/2020 siku 9 kabla ya siku ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaofanyika tarehe 28/10/2020 hapa kuna jambo litazua jambo!
Machungu yanayotokana na hizo Mechi za watani yana athari zinazodumu kwenye jamii kwa kipindi fulani baada ya mechi. Kuna Uharibifu wa Mali, Kuna viffo vya msutuko, Kuna malalamiko ya Upendeleo wa timu fulani, Kuna maazimio ya Kutimuana, Kuna Kususiana, Kuna kuona aibu na kufanya mtu akae ndani tu kwa aibu ya kufungwa nk nk nk nk.
Kwa muktadha huu na kwa kuzingatia Uwepo wa Mechi za Kimataifa za Kirafiki ni wazi kabisa kwamba TFF hawanabudi kubadilisha tarehe ya Mechi husika ili kupisha Zoezi la Uchaguzi Mkuu. Kuna kundi linaweza kususa au kununa likajitokeza kwa Uchache kwenye Uchaguzi Mkuu.
Nawasilisha.
Machungu yanayotokana na hizo Mechi za watani yana athari zinazodumu kwenye jamii kwa kipindi fulani baada ya mechi. Kuna Uharibifu wa Mali, Kuna viffo vya msutuko, Kuna malalamiko ya Upendeleo wa timu fulani, Kuna maazimio ya Kutimuana, Kuna Kususiana, Kuna kuona aibu na kufanya mtu akae ndani tu kwa aibu ya kufungwa nk nk nk nk.
Kwa muktadha huu na kwa kuzingatia Uwepo wa Mechi za Kimataifa za Kirafiki ni wazi kabisa kwamba TFF hawanabudi kubadilisha tarehe ya Mechi husika ili kupisha Zoezi la Uchaguzi Mkuu. Kuna kundi linaweza kususa au kununa likajitokeza kwa Uchache kwenye Uchaguzi Mkuu.
Nawasilisha.