TFF muondoeni Amunike, kazi ya kuivusha stars haiwezi

sas wewe unamlaumu kocha wakati michezaji yenyewe ni mizembe hivi yule beki aliyetoa boko lakishubwada lile baada ya kutoa mpira pembeni uwe wa kurushwa yeye anatoa uwe kona shwainiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Acha basi kujifanya kama vile sio mjinga! Unakumbuka rais wa Iceland kule Urusi?

Sina ushabiki wa Ccm ila unaingiza Ccm kwenye mambo ambayo hata haitakiwi kuwekwa. Ccm iwekeni kwenye madaraja sio kufeli kwa Taifa Stars.
Mkuu kwani CCM ni si ndioimetuongoz kwa miaka yote hii ....au kwenye Soka tunaongozwa na ACT!
 
Tafakari unachosema kabla hujaandika upupu wako.

Kuna siku umeona wajumbe wa Nec wameenda kucheza mpira pale kikosini? Ccm na maendeleo ya timu ya taifa yana mahusiano gani? Leo mzee wako akishindwa kutunza familia yake utasema sababu ni Ccm?.

Kuwa na akili za kujiuliza kabla hujaleta upupu wa kipuuzi huu.
Mkuu kwani CCM ni si ndioimetuongoz kwa miaka yote hii ....au kwenye Soka tunaongozwa na ACT!
 
Aachie ngazi tu game plan yake ilikuwa ya kindumilakwili
Mimi siyo shabiki wa mpira Ila msikute huyo kocha keshakuwa tajiri amenunuliwa apange timu mbovu na hiyo nchi
 
Mimi sio mjua michezo sana ilaaa nashabikia yanga..
Halafu nakuja ktk mada yenyewe::kwa upeo wangu mdogo tungeacha timu ya taifa iongozwe na wazawa wenyewe jamani kwani hao wana uchungu na nchi yao na wanawajua wachezaji wote vizuri kuliko kuwasoma ktk computer.. hii itasukuma hata kupata wachezaji bora hata hilo benchi la ufundo lote livunjweee na kuundwa jipya la wanaojielewa.. tuna wachezaji wakongwe ambao wanajua makosa yetu na akili za watanzania ni watanzania wenyewe na sio mgeni.. asanteni sana.
 
TFF ife ianze nyingne mpya baada ya miaka minne isuke mfumo wa watoto wacheza soka,hawa vijana wa miaka 20-34 hawawezikutupa matokeo katu
 
Ss mtafukuza makocha wangap??? Hauoni kua tatzo sio kocha pekee????
Hivi kiongozi hata ungepewa wewe nafasi ya kupanga kikosi cha ushindi ungepanga kikosi kile...??? Tuwe wakweli tu katika hili kocha kazingua... Na kuna muda ilionekana kama wanaongea katika kutokuelewana na makocha wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…