TFF na Bodi ya Ligi Kuu NBC hii aibu yenu mtaificha wapi?

TFF na Bodi ya Ligi Kuu NBC hii aibu yenu mtaificha wapi?

Southern Highland

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
14,938
Reaction score
25,405
Nakemea kwa kile kilichotokea na hata Simba wana haki ya kusikilizwa hoja zao. Lakini swala la kuahirisha hii mechi ni jambo ambalo limeonesha udhaifu wa kitaasisi zinazosimamia ligi ya NBC PL. Kuna haki ya mdhamini, mashabiki na hata anayerusha matangazo mlizingatia hilo kabla ya kufikia maamuzi haya? Vipi gharama zilizotumika kufanya maandalizi kwa kila upande mmefikiria hayo?

Sababu kuu ya kuahirisha hii mechi ni ipi zaidi kumlea huyu baby girl/ baby drama/ last born anayependa kulia lia bila sababu ya msingi? Kwa sababu kama taarifa inakiri hawakufanya mawasiliano yoyote wao wanalalamika nini kufikia kususia mechi! Kosa ni la nani? Kiukweli ni aibu ya Muongo mzima mnaibeba nyie wenyewe.
 
Taarifa ya bodi ya ligi
 

Attachments

  • Screenshot_20250308_151038_Instagram.jpg
    Screenshot_20250308_151038_Instagram.jpg
    330.2 KB · Views: 1
Aibu kubwa sana hii, watu wametumia gharama zao, Wengine wametokea mikoani. Makampuni yamewekeza kwenye matangazo, Yaani hata sijui shida nn.

Walipasea kusulihisha hii issue kwa masaa kadhaa then watu waingie uwanjani
 
Yaan wamefanya kuharakisha kutoa taarifa masaa 6 kabla ili Yanga asije kutumia mwanya huo wa ukiukwaji wa kanuni kuwa taarifa imechelewa hivyo kupeleka timu uwanjani na kufanya msala kuwa mkubwa zaidi. Shenzi kabisa
 
Aibu kubwa sana hii, watu wametumia gharama zao, Wengine wametokea mikoani. Makampuni yamewekeza kwenye matangazo, Yaani hata sijui shida nn.

Walipasea kusulihisha hii issue kwa masaa kadhaa then watu waingie uwanjani
Sijui tutaficha wapi sura zetu na tunavyojinasibu ligi yetu ni ya sita kwa ubora Africa
 
Nakemea kwa kile kilichotokea na hata Simba wana haki ya kusikilizwa hoja zao. Lakini swala la kuahirisha hii mechi ni jambo ambalo limeonesha udhaifu wa kitaasisi zinazosimamia ligi ya NBC PL. Kuna haki ya mdhamini, mashabiki na hata anayerusha matangazo mlizingatia hilo kabla ya kufikia maamuzi haya? Vipi gharama zilizotumika kufanya maandalizi kwa kila upande mmefikiria hayo?

Sababu kuu ya kuahirisha hii mechi ni ipi zaidi kumlea huyu baby girl/ baby drama/ last born anayependa kulia lia bila sababu ya msingi? Kwa sababu kama taarifa inakiri hawakufanya mawasiliano yoyote wao wanalalamika nini kufikia kususia mechi! Kosa ni la nani? Kiukweli ni aibu ya Muongo mzima mnaibeba nyie wenyewe.
Screenshot_20250308-144959.jpg
 
Ni aibu kwa soka la Tanzania kuwa na chombo kinachosimamia soka chenye udhaifu mkubwa kama huu. Inashangaza sana kuona soka letu linayumbishwa na wababa8shaji wachache. Hakuna kanuni yoyote ya kuahirishwa mechi ya leo ZAIDI YA KUIBEBA,KUISIKILIZA NA KUIBEMBELEZA simba
 
Aibu kubwa sana hii, watu wametumia gharama zao, Wengine wametokea mikoani. Makampuni yamewekeza kwenye matangazo, Yaani hata sijui shida nn.

Walipasea kusulihisha hii issue kwa masaa kadhaa then watu waingie uwanjani
Tuambie kama kiongozi wa tff ama bodi ya ligi mzee mguto...wewe ungelisuluhishaje hili..
 
Timu zingine zikatae uhuni unaofanywa na yanga wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa kisiasa

Quote
 
Tuambie kama kiongozi wa tff ama bodi ya ligi mzee mguto...wewe ungelisuluhishaje hili..
Hata hujihelewi sasa hapa unadiscuss nini? Kwa hiyo na wewe kilaza unashabikia mpira?Sasa unataka kujua taarifa za TFF na za Mguto zikusaidie nini wewe mwaasiasa? Unaponda nyama ya kitimoto huku mchuzi unautaka.
 
Mchezo wa kuizuia Simba kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kucheza mchezo husika ilianza na RC Said Mtanda wa Mwanza (ambaye ni Yanga lia lia kabisa), kwenye fixture ya Pamba FC Vs Simba. Sasa wapuuzi wa Uto mnataka kuendelea upumbavu wenu. Awamu hii mmekwama mbwa nyie!
 
Mchezo wa kuizuia Simba kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kucheza mchezo husika ilianza na RC Said Mtanda wa Mwanza (ambaye ni Yanga lia lia kabisa), kwenye fixture ya Pamba FC Vs Simba. Sasa wapuuzi wa Uto mnataka kuendelea upumbavu wenu. Awamu hii mmekwama mbwa nyie!
Nyani haoni......
JamiiForums-777753140.jpg
Hakutulalamika na wala hatukususia mechi au hizo kanuni round ya kwanza hazikuwepo.
 
Back
Top Bottom