stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Ni WizardMakolo ni waoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni WizardMakolo ni waoga
Uko sahihiiii sana! Hata pale simba wale akina magori ndo wameleta yote haya! Na tofauti ya yanga na simba ni management yanga vijana simba wazee!Kwanza hao wazee waliojazana hapo wameshachoka kifikra na kimaamuzi, hapo wanapaswa kukaa vijana
Wasivyo haya sishangai wakisema hayoo..Na bado wanakwambia yanga kakimbia mechi😆😆
Hao mabaunsa uewapima DNA ikathitika ni YangaAibu ni Yale majinga yaliyotuma ma BAUNSA kuzuia timu kufanya mazoezi
Hivi vi baby drama vinapenda kulialia kama last born wa UwoyaNyani haoni......
View attachment 3263698Hakutulalamika na wala hatukususia mechi au hizo kanuni round ya kwanza hazikuwepo.
Ndio tena nimeichukua swab za mama zao ambazo ndizo zinatoa jibu sahihi na kuthibitisha wazi kuwa matipwa tipwa hao wenye miili mkubwa lakini Haina akili ilitumwa kuwazuia Simba waliokuwa na wazee wao waliokuja kuangalia burudani ya vijana hao huku kwenye gari wakiwa na vitoweo vya mbuzi kwa ajili ya daku Sasa sijui hao mapunguani yalifikiri hao wazee na hizo mbuzi ni za nini?Hao mabaunsa uewapima DNA ikathitika ni Yanga
HAwanaga aibu hataaWasivyo haya sishangai wakisema hayoo..
Hao hao wapumbavu huwasikii wakilaani kilichosababisha Simba kugoma bali wanapiga domo kwa nini mechi imeahirishwaMchezo wa kuizuia Simba kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kucheza mchezo husika ilianza na RC Said Mtanda wa Mwanza (ambaye ni Yanga lia lia kabisa), kwenye fixture ya Pamba FC Vs Simba. Sasa wapuuzi wa Uto mnataka kuendelea upumbavu wenu. Awamu hii mmekwama mbwa nyie!
Kupitia haya maelezo ya hii Bodi ya vilaza, utagundua simba ilikuwa inatafuta kisingizio cha kuingia mitini baada ya kufanya tathmini yao na kugundua ingeenda kushushiwa kichapo kwa mara nyingine tena.
Ama hazikuwepo au timu inasimamiwa na watu wasiojua nini wanafanya. Rejea uwajibikaji wa Mwanasheria wa timu.Nyani haoni......
View attachment 3263698Hakutulalamika na wala hatukususia mechi au hizo kanuni round ya kwanza hazikuwepo.
Tugome kwani kuna kanuni inayosema timu isipocheza siku moja kabla ya mechi inatakiwa kususia mechi? Pili aliye wazuia si mwenye funguo ,ule uwanjawa serikali sio wa TFF.Ama hazikuwepo au timu inasimamiwa na watu wasiojua nini wanafanya. Rejea uwajibikaji wa Mwanasheria wa timu.