kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Inanipa shida kauli ya msemaji wa simba, aliposema ligi yetu ni dhaifu.
Pia zinanipa shida Tff na bodies ya ligi wenye mamlaka na ligi yetu.
Ligi haiwezi kuwa dhaifu kama muandaaji na msimamizi ni imara. Kwa maana hiyo kwa kauli ya msemaji wa simba,Tff na bodi ya ligi ni dhaifu.
Linitazamia msemaji huyo angekwisha hojiwa na ingebidi aadhibiwe. Mfano ukisema chakula ni kichafu, maana yake muandaaji wake pia ni mchafu.
TFF NA BODI YA LIGI MSIPOCHUKUA HATUA KWA MSEMAJI WA SIMBA,WAPENDA MPIRA WA MIGUU TUTAKUBALIANA NAYE KUWA NINYI NI DHAIFU.
Pia zinanipa shida Tff na bodies ya ligi wenye mamlaka na ligi yetu.
Ligi haiwezi kuwa dhaifu kama muandaaji na msimamizi ni imara. Kwa maana hiyo kwa kauli ya msemaji wa simba,Tff na bodi ya ligi ni dhaifu.
Linitazamia msemaji huyo angekwisha hojiwa na ingebidi aadhibiwe. Mfano ukisema chakula ni kichafu, maana yake muandaaji wake pia ni mchafu.
TFF NA BODI YA LIGI MSIPOCHUKUA HATUA KWA MSEMAJI WA SIMBA,WAPENDA MPIRA WA MIGUU TUTAKUBALIANA NAYE KUWA NINYI NI DHAIFU.