hawa jamaa wanaweza kulialia aisee, Yan jamii forum yote wamejaza threads za malalamiko tuVipi ile faulo aliochezewa kibu je haikuwa kadi nyekundu ya moja kwa moja kweli!!! Je simba hawawezi kulalamikia maamuzi ya refarii!!
Sikia mkuu kila mmoja ashinde mechi zake..
KAMA HUNA HOJA BORA KUKAA KIMYA KULIKO KUONESHA HUU UPUMBAVU UNAOUFANYA.[emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867][emoji867]
Povu hiloSasa nimegundua ni kwa nini marefa wetu hawaitwi kuchezesha mechi za kimataifa.
Kuanzia mechi ya Azam FC dhidi ya Dodoma waamuzi waliochezesha ile mechi ni utumbo mtupu tena Azam FC wananyimwa goli sijui TFF na Bodi ya ligi mnaawaadhibu vipi hao marefa.
Tazama mechi ya Singida Fountain Gate FC dhidi ya Simba SC Kuna makosa mengi sana yaliyofanywa na waamuzi mpaka unajiuliza hivi hawa marefa huwa wanajifunza sheria kweli?
Ukifuatilia mpira kwa makini unagundua kuwa refalii wapo kwa ajili ya kuzilinda Simba na Yanga tu maana wao Wana mashabiki ambapo watakapo ona wanazulumiwa ni lazima wapige kelele kwenye mitandao.
Kwa uchezeshaji huu ni ngumu sana kwa marefa kuitwa katika mechi za kimataifa na ukizingatia ligi yetu inakua kila siku inaongeza wafatiliaji na mashabiki wapya kutoka nchi za jirani na kimataifa pia.
TFF na Bodi ya ligi Kama mtaendelea kukaa kimya juu ya huu utumbo Basi ni wazi mnaitia doa ligi yetu na wapenzi wa mpira tutaamini kuwa nyinyi ndiyo mnabariki haya Madudu yanayofanywa na marefa.
NAKAZIA.Punguza ushabiki, angalia Mpira vizuri , wakati beki anamzuia Kibu upande wa kushoto kwake Kuna beki mwingine alikuwa mbele yake ndani ya box lao kufanya marking kama Kibu asingeangushwa! Refa alikuwa sahihi rejea picha za video utaona vizuri lile tukio , sawa kolo wizard? Mmebebwa Leo goli halali la Singapore Big Stars limekataliwa na Sasa inatia kinyaa kuangalia mechi zenu, Simba kwasasa mpira hamjui mnalazimisha ushindi!
Mbio zenu za ubingwa zitaishia jangwani tutaweka full mkoko na kuwakanda ndani nje!
Nawashauri Singida big Stars mkalalamike Fifa ubovu wa TFF kuweka marefa wa msimbazi, Leo mlistahili ushindi mmeonewa msikubali maana mtaonewa Kila mechi na uonevu utaendelezwa Kwa timu zingine underdog!
Kweli Simba mbumbumbu wamejaa mwenye akili mmoja tu Rage the Great Nampa maua yake now now [emoji259][emoji1651][emoji254][emoji255][emoji260][emoji262][emoji272][emoji253][emoji255][emoji2530][emoji816][emoji258]
OKYHoja baki nayo wewe
ELEZA WEWE PALE UMEME UNAKUJAJE??Mkuu nashukuru kwa kuliona ilo, yan wanaongea pumba nyingi lkn ilo ulilolisema hawalioni kibu amezuiwa kufunga ilikuwa apewe umeme lkn haikuwa ivyo, mwisho wa siku watu wanalalama tu.
NAKAZIA.Dawa ya Simba na Yanga ni kucheza limataifa,kule hakuna mbeleko
Mkuu usijari,tarehe Ishirini Oktoba siyo mbali na makundi kuanzia kuchezwa siyo mbali
Tutaona ni nani anaujua mpira kati ya Simba na Yanga
Kule hakuna bahasha
Mbona wanaitwa sana tu?Sasa nimegundua ni kwa nini marefa wetu hawaitwi kuchezesha mechi za kimataifa.
OKAY.Kama unaumia vaa uende
HII NCHI INA WAAMUZI WATATU.
AhaaaaaHII NCHI INA WAAMUZI WATATU.
Acha kulia....Sasa nimegundua ni kwa nini marefa wetu hawaitwi kuchezesha mechi za kimataifa.
Kuanzia mechi ya Azam FC dhidi ya Dodoma waamuzi waliochezesha ile mechi ni utumbo mtupu tena Azam FC wananyimwa goli sijui TFF na Bodi ya ligi mnaawaadhibu vipi hao marefa.
Tazama mechi ya Singida Fountain Gate FC dhidi ya Simba SC Kuna makosa mengi sana yaliyofanywa na waamuzi mpaka unajiuliza hivi hawa marefa huwa wanajifunza sheria kweli?
Ukifuatilia mpira kwa makini unagundua kuwa refalii wapo kwa ajili ya kuzilinda Simba na Yanga tu maana wao Wana mashabiki ambapo watakapo ona wanazulumiwa ni lazima wapige kelele kwenye mitandao.
Kwa uchezeshaji huu ni ngumu sana kwa marefa kuitwa katika mechi za kimataifa na ukizingatia ligi yetu inakua kila siku inaongeza wafatiliaji na mashabiki wapya kutoka nchi za jirani na kimataifa pia.
TFF na Bodi ya ligi Kama mtaendelea kukaa kimya juu ya huu utumbo Basi ni wazi mnaitia doa ligi yetu na wapenzi wa mpira tutaamini kuwa nyinyi ndiyo mnabariki haya Madudu yanayofanywa na marefa.
Ukiona hivyo sio lazima marefa wetu wakachezeshe kimataifa. Ligi namba 5 kwa ubora acha waishie hapo hapoSasa nimegundua ni kwa nini marefa wetu hawaitwi kuchezesha mechi za kimataifa.
Kuanzia mechi ya Azam FC dhidi ya Dodoma waamuzi waliochezesha ile mechi ni utumbo mtupu tena Azam FC wananyimwa goli sijui TFF na Bodi ya ligi mnaawaadhibu vipi hao marefa.
Tazama mechi ya Singida Fountain Gate FC dhidi ya Simba SC Kuna makosa mengi sana yaliyofanywa na waamuzi mpaka unajiuliza hivi hawa marefa huwa wanajifunza sheria kweli?
Ukifuatilia mpira kwa makini unagundua kuwa refalii wapo kwa ajili ya kuzilinda Simba na Yanga tu maana wao Wana mashabiki ambapo watakapo ona wanazulumiwa ni lazima wapige kelele kwenye mitandao.
Kwa uchezeshaji huu ni ngumu sana kwa marefa kuitwa katika mechi za kimataifa na ukizingatia ligi yetu inakua kila siku inaongeza wafatiliaji na mashabiki wapya kutoka nchi za jirani na kimataifa pia.
TFF na Bodi ya ligi Kama mtaendelea kukaa kimya juu ya huu utumbo Basi ni wazi mnaitia doa ligi yetu na wapenzi wa mpira tutaamini kuwa nyinyi ndiyo mnabariki haya Madudu yanayofanywa na marefa.
tupo makazini tunaijenga Nchi,PUNGUANI lipo JF linalialia waamuzi,kachezeshe wewe nyoko[emoji867]HII NCHI INA WAAMUZI WATATU.
Kunywa sumuMi nimeamua kuanzia Leo siangalii Tena mechi za Simba kubebwa kumezidi hadi inatia kichefuchefu Singida BS wameonewa Sana Leo, walistahili ushindi , kila faulo inaenda kwao, goli lao la wazi wamenyimwa Ili kuipa Simba nafasi ya kufunga na kuongoza ligi. Mchezaji wa Big Stars hakuwa offside maana alisharudi ndani na nyuma yake walikuwa mabeki wa Simba na mpira ulishachezeka iweje awe offside , Sheria namba ngapi ilitumika? Othman Kazi hebu njoo uchambue lile goli na lingekubaliwa Simba ingelala leo. Hawa marefa wa msimbazi hawafai, wanashusha ladha ya boli na kuharibu uwekezaji wa Azam kuonesha mechi live Africa nzima , hii ni aibu kwa taifa, yule lines man niliona kama ni Mzee, Hana akili na hafai kuwa kibendera , haya ni madudu ya Mr Karai kung'ang'ania uongozi wa TFF Ili mkakati wake Simba kuchukua ubingwa ufaulu. Na hatoweza kufanikiwa maana Yanga tutamkanda Simba ndani nje na kuchukua points 6 na kazi yote ya kuibeba Simba itaishia hapo!
Kwa mazingira haya timu nyingi zikicheza na Simba hazitoshinda hata wajitoe vipi na inavunja moyo sana mtu unammudu anabebwa hadi inaboa sana!
Mkuu soma vizuri mtoa mada kasema kuna mpango wa kuzilinda simba na Yanga amekuwa neutral.sio neno lako kuwa kuna mpango wa kuipendelea simba
KWA HIYO HATA WEW NI PUNGUANI MAANA UPO JF PIA.tupo makazini tunaijenga Nchi,PUNGUANI lipo JF linalialia waamuzi,kachezeshe wewe nyoko[emoji867]
MIMI NIMEWEKA USHABIKI PEMBENI SIHASEMA SIMBA SC ANAPENDELEWA ILA NIMESEMA HAWA MAREFA WANAWALINDA SIMBA NA YANGAKweli binadam tumeumbiwa kusahau... Ila ngoja tukumbushane yani mambo yametokea tu msimu ulopita leo hii tumekwisha sahau aisee.
Haya twende kazi Yanga (H&A) vs Azam marefa hawakua fea kwa kuipendelea Yanga mechi zote mbili na mwisho wa siku baadhi yao walifungiwa hadi miezi 6.
Yanga (A) vs Geita Gold refa wakati hakua fea alipendelea Yanga akafungiwa miezi 6.
Yanga (A) vs Namungo yaani mchezaji wa Yanga anashika mpira ndani ya zoni ya 18 ya Namungo halafu refa akafunika tuta dhidi ya Namungo.
Hayo ni baadhi ya matukio ya upendeleo yaliyochagiza kuipa Yanga ubingwa kirahisi lasti sizoni.
Halafu pia mechi ya SFG vs Simba ya hapo jana yule kibendera hakua fea hata kwa Simba kwakua Simba kashinda ndomana uzi umekua hivi ulivyo ila angefungwa Simba hali isingekua hivi kuhusu maamuzi ya yule laini tu,
pia refa wa kati kuna muda mchezaji wa mwisho wa SFG alicheza faulo alipaswa kuonyeshwa redi kadi lakina hakufanya hivyo.
WATU NI WAGUMU SANA KUELEWA.Mkuu soma vizuri mtoa mada kasema kuna mpango wa kuzilinda simba na Yanga amekuwa neutral.
Jamaa ana hoja.