TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

Wajinga wengi wa yanga Utopolo waliitegemea sana Singida ndio isimamishe simba. Poleni mtaharisha sana mwaka huu. Acheni marefa wachezeshe na mjue wao ni binadamu pia.
 
Wajinga wengi wa yanga Utopolo waliitegemea sana Singida ndio isimamishe simba. Poleni mtaharisha sana mwaka huu. Acheni marefa wachezeshe na mjue wao ni binadamu pia.
HATA MAREFA WA KIMATAIFA NI BINADAMU
 
WATU NI WAGUMU SANA KUELEWA.
Mbumbumbu FC ni pasua kichwa bora uyaache tu.

Mbona ulianza kulalamikia Marefa mechi ya Azam Vs Dodoma jiji kwa Azam FC kunyinwa haki kimaamuzi ila hawakukutukana?

Leo kuwasema Makolokolo FC ndiyo iwe nongwa?

Si umeeleza vizuri sana tu kwa mizani yote miwili Simba na Yanga kubebwa dhidi ya timu zingine za NBC PL?

Kweli wapumbavu hawawezi kuelimishwa na kuelimika zaidi ya kupoteza tu muda.

Makolokolo FC yatakandwa na yatamkataa Kocha wao ni muda tu ndiyo mwamuzi sahihi maana yana kikosi cha Wazee weng/age gone au "Vibabu" na huchezeshwa muda mrefu sana bila kufanyiwa mabadiliko.

Pumzi itakata tu maana kukabiliana na CAF Super league, CAF CL, NBC PL, FA, mechi za timu za Mataifa hawataweza.

Tuombe uzima huu ujumbe wataufukua baadaye tu na kuniita mi Nabii kumbe ni akili tu inayodhihirisha ukweli.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Mbumbumbu FC ni pasua kichwa bora uyaache tu.

Mbona ulianza kulalamikia Marefa mechi ya Azam Vs Dodoma jiji kwa Azam FC kunyinwa haki kimaamuzi ila hawakukutukana?

Leo kuwasema Makolokolo FC ndiyo iwe nongwa?

Si umeeleza vizuri sana tu kwa mizani yote miwili Simba na Yanga kubebwa dhidi ya timu zingine za NBC PL?

Kweli wapumbavu hawawezi kuelimishwa na kuelimika zaidi ya kupoteza tu muda.

Makolokolo FC yatakandwa na yatamkataa Kocha wao ni muda tu ndiyo mwamuzi sahihi maana yana kikosi cha Wazee weng/age gone au "Vibabu" na huchezeshwa muda mrefu sana bila kufanyiwa mabadiliko.

Pumzi itakata tu maana kukabiliana na CAF Super league, CAF CL, NBC PL, FA, mechi za timu za Mataifa hawataweza.

Tuombe uzima huu ujumbe wataufukua baadaye tu na kuniita mi Nabii kumbe ni akili tu inayodhihirisha ukweli.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
NAKAZIA
 
Mi nimeamua kuanzia Leo siangalii Tena mechi za Simba kubebwa kumezidi hadi inatia kichefuchefu Singida BS wameonewa Sana Leo, walistahili ushindi , kila faulo inaenda kwao, goli lao la wazi wamenyimwa Ili kuipa Simba nafasi ya kufunga na kuongoza ligi. Mchezaji wa Big Stars hakuwa offside maana alisharudi ndani na nyuma yake walikuwa mabeki wa Simba na mpira ulishachezeka iweje awe offside , Sheria namba ngapi ilitumika? Othman Kazi hebu njoo uchambue lile goli na lingekubaliwa Simba ingelala leo. Hawa marefa wa msimbazi hawafai, wanashusha ladha ya boli na kuharibu uwekezaji wa Azam kuonesha mechi live Africa nzima , hii ni aibu kwa taifa, yule lines man niliona kama ni Mzee, Hana akili na hafai kuwa kibendera , haya ni madudu ya Mr Karai kung'ang'ania uongozi wa TFF Ili mkakati wake Simba kuchukua ubingwa ufaulu. Na hatoweza kufanikiwa maana Yanga tutamkanda Simba ndani nje na kuchukua points 6 na kazi yote ya kuibeba Simba itaishia hapo!

Kwa mazingira haya timu nyingi zikicheza na Simba hazitoshinda hata wajitoe vipi na inavunja moyo sana mtu unammudu anabebwa hadi inaboa sana!
Unakumbuka penalty ya Fei toto dhidi ya Namungo msimu uliopita?? Unakumbuka penalty ngapi tata mlizopewa?

Mkuu, tatizo sio timu tatizo ni waamuzi wana uwezo mdogo wa kuchezesha, pia wanaziogopa hizi Simba na Yanga.
 
Unakumbuka penalty ya Fei toto dhidi ya Namungo msimu uliopita?? Unakumbuka penalty ngapi tata mlizopewa?

Mkuu, tatizo sio timu tatizo ni waamuzi wana uwezo mdogo wa kuchezesha, pia wanaziogopa hizi Simba na Yanga.
HAWAZIOGOPI BALI KUNA NAMNA INATENGENEZWA.
 
Mi nimeamua kuanzia Leo siangalii Tena mechi za Simba kubebwa kumezidi hadi inatia kichefuchefu Singida BS wameonewa Sana Leo, walistahili ushindi , kila faulo inaenda kwao, goli lao la wazi wamenyimwa Ili kuipa Simba nafasi ya kufunga na kuongoza ligi. Mchezaji wa Big Stars hakuwa offside maana alisharudi ndani na nyuma yake walikuwa mabeki wa Simba na mpira ulishachezeka iweje awe offside , Sheria namba ngapi ilitumika? Othman Kazi hebu njoo uchambue lile goli na lingekubaliwa Simba ingelala leo. Hawa marefa wa msimbazi hawafai, wanashusha ladha ya boli na kuharibu uwekezaji wa Azam kuonesha mechi live Africa nzima , hii ni aibu kwa taifa, yule lines man niliona kama ni Mzee, Hana akili na hafai kuwa kibendera , haya ni madudu ya Mr Karai kung'ang'ania uongozi wa TFF Ili mkakati wake Simba kuchukua ubingwa ufaulu. Na hatoweza kufanikiwa maana Yanga tutamkanda Simba ndani nje na kuchukua points 6 na kazi yote ya kuibeba Simba itaishia hapo!

Kwa mazingira haya timu nyingi zikicheza na Simba hazitoshinda hata wajitoe vipi na inavunja moyo sana mtu unammudu anabebwa hadi inaboa sana!
Sio Singida tu hata nyinyi Yanga mkicheza na Simba hamtashinda mtaishia kupigwa tu kama tunavyofanyaga
 
Punguza ushabiki, angalia Mpira vizuri , wakati beki anamzuia Kibu upande wa kushoto kwake Kuna beki mwingine alikuwa mbele yake ndani ya box lao kufanya marking kama Kibu asingeangushwa! Refa alikuwa sahihi rejea picha za video utaona vizuri lile tukio , sawa kolo wizard? Mmebebwa Leo goli halali la Singapore Big Stars limekataliwa na Sasa inatia kinyaa kuangalia mechi zenu, Simba kwasasa mpira hamjui mnalazimisha ushindi!
Mbio zenu za ubingwa zitaishia jangwani tutaweka full mkoko na kuwakanda ndani nje!

Nawashauri Singida big Stars mkalalamike Fifa ubovu wa TFF kuweka marefa wa msimbazi, Leo mlistahili ushindi mmeonewa msikubali maana mtaonewa Kila mechi na uonevu utaendelezwa Kwa timu zingine underdog!

Kweli Simba mbumbumbu wamejaa mwenye akili mmoja tu Rage the Great Nampa maua yake now now [emoji259][emoji1651][emoji254][emoji255][emoji260][emoji262][emoji272][emoji253][emoji255][emoji2530][emoji816][emoji258]
Kwani tulivyo wakanda last game Ally Salim akiwa golini hamkuweka full mkoko? au upo unaota mkuu?
Robertinho sio kocha wa kufungwa na Uto hata tucheze mechi zote 30 mfululizo mimi na wewe mpaka ligi iishe zote Tinyo anawanyoa
 
Ukisema viwango vya uchezeshaji sio mzuri naweza kukubali na sio neno lako kuwa kuna mpango wa kuipendelea simba.wewe Yanga cheza mechi zako usitegemee timu nyingine zikusaidie kukupa mstokeo ...ningekuwa refa ile faulo aliyochezewa na beki nje kidogo ya box ningemtoa yule beki kwa straight red card...kwani Alimzuia mchezaji kufunga goli
Yeye awezi kuongelea hilo....sababu ya anaona sawa tu
 
Kweli binadam tumeumbiwa kusahau... Ila ngoja tukumbushane yani mambo yametokea tu msimu ulopita leo hii tumekwisha sahau aisee.
Haya twende kazi Yanga (H&A) vs Azam marefa hawakua fea kwa kuipendelea Yanga mechi zote mbili na mwisho wa siku baadhi yao walifungiwa hadi miezi 6.

Yanga (A) vs Geita Gold refa wakati hakua fea alipendelea Yanga akafungiwa miezi 6.

Yanga (A) vs Namungo yaani mchezaji wa Yanga anashika mpira ndani ya zoni ya 18 ya Namungo halafu refa akafunika tuta dhidi ya Namungo.

Hayo ni baadhi ya matukio ya upendeleo yaliyochagiza kuipa Yanga ubingwa kirahisi lasti sizoni.

Halafu pia mechi ya SFG vs Simba ya hapo jana yule kibendera hakua fea hata kwa Simba kwakua Simba kashinda ndomana uzi umekua hivi ulivyo ila angefungwa Simba hali isingekua hivi kuhusu maamuzi ya yule laini tu,
pia refa wa kati kuna muda mchezaji wa mwisho wa SFG alicheza faulo alipaswa kuonyeshwa redi kadi lakina hakufanya hivyo.
Goli lililokataliwa la Singida lilikuwa halali au la, nafikiri hili ndio tukio kubwa linalolalamikiwa.
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Mi nimeamua kuanzia Leo siangalii Tena mechi za Simba kubebwa kumezidi hadi inatia kichefuchefu Singida BS wameonewa Sana Leo, walistahili ushindi , kila faulo inaenda kwao, goli lao la wazi wamenyimwa Ili kuipa Simba nafasi ya kufunga na kuongoza ligi. Mchezaji wa Big Stars hakuwa offside maana alisharudi ndani na nyuma yake walikuwa mabeki wa Simba na mpira ulishachezeka iweje awe offside , Sheria namba ngapi ilitumika? Othman Kazi hebu njoo uchambue lile goli na lingekubaliwa Simba ingelala leo. Hawa marefa wa msimbazi hawafai, wanashusha ladha ya boli na kuharibu uwekezaji wa Azam kuonesha mechi live Africa nzima , hii ni aibu kwa taifa, yule lines man niliona kama ni Mzee, Hana akili na hafai kuwa kibendera , haya ni madudu ya Mr Karai kung'ang'ania uongozi wa TFF Ili mkakati wake Simba kuchukua ubingwa ufaulu. Na hatoweza kufanikiwa maana Yanga tutamkanda Simba ndani nje na kuchukua points 6 na kazi yote ya kuibeba Simba itaishia hapo!

Kwa mazingira haya timu nyingi zikicheza na Simba hazitoshinda hata wajitoe vipi na inavunja moyo sana mtu unammudu anabebwa hadi inaboa sana!
Nlikuwa nafkir unachambua kwa kina ila ulivyosema Tena yanga atamfunga Simba nikakumbuka kipgo Cha EF bdo kinawasumbua...mnaenda kweny mabanda kushabikia team pinzani kwa kujifariji
 
Punguza ushabiki, angalia Mpira vizuri , wakati beki anamzuia Kibu upande wa kushoto kwake Kuna beki mwingine alikuwa mbele yake ndani ya box lao kufanya marking kama Kibu asingeangushwa! Refa alikuwa sahihi rejea picha za video utaona vizuri lile tukio , sawa kolo wizard? Mmebebwa Leo goli halali la Singapore Big Stars limekataliwa na Sasa inatia kinyaa kuangalia mechi zenu, Simba kwasasa mpira hamjui mnalazimisha ushindi!
Mbio zenu za ubingwa zitaishia jangwani tutaweka full mkoko na kuwakanda ndani nje!

Nawashauri Singida big Stars mkalalamike Fifa ubovu wa TFF kuweka marefa wa msimbazi, Leo mlistahili ushindi mmeonewa msikubali maana mtaonewa Kila mechi na uonevu utaendelezwa Kwa timu zingine underdog!

Kweli Simba mbumbumbu wamejaa mwenye akili mmoja tu Rage the Great Nampa maua yake now now 🌺🥀🌸🌷🍁🍂🌼💐🌷🏵️💮🌻
Lawama zipenelekwe EF...katoa bikra bdo Binti mmbichi kabisa
 
Tuacheni.

Sisi usajili wetu mwaka huu tumewekeza kwa baadhi ya wachezaji wa timu pinzani na kwa Waamuzi wa mechi zetu na za mechi wanazocheza Utopolo.
 
Back
Top Bottom