NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Sikumbuki ni lini Askari wa Suma JKT wamewahi Kumiliki Akili zaidi tu ya Upumbavu wanaoumiliki Kutwa.
Naskia mmepigwa ngwala balaaTFF na Bodi ya ligi msifurahie kuhesabu kibunda (fedha za mapato ya uwanja) huku mashabiki/wateja zenu wakipata karaha kwa sababu ya miundo mbinu mibovu...
😄😁😂😆😅😁😁😅😁😁😄😂😄😄😁Bamelokota Kunyavupunguzeni kafara nyie wavaa nyeusi
NakaziaKuangalia mechi kwenye TV kuna raha yake
Nakazia Bure GharamaVya bure vina gharama.
Issue sio bure ,issue ni mpangilio mbovu wa kuingia kiwanjani, mara kadhaa pale hata mechi za Simba na Yanga, watu wanasukumana na kuvunja geti kwa same issues.Bure gharama
Wabongo wanayanga waliposikia dezo wakajaa
Ova
Hii si kweli,nchi mwenyeji ndiye anayeshughulikia usalama wa mechi,acha uongo mkuu na pia hawa kenges wa suma hawana mamlaka ya kupiga raia au arresting power, mwanajeshi mpumbavu anampiga dereva wa bus lenye abiria ndani, wapumbavu wa kitanzania maisha yanaendelea na inakua cold case, abiria nao wanafwata mikia yao na kukimbilia kwenye soft landing (social networks)kabla ya ku push backAfisa usalama aliye letwa na CAF kusimamia mchezo huo ndie aliye sababisha matatizo yote. Yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya milango kufunguliwa mapema.
Haiwezekani mpaka saa 5 na nusu milango bado imefungwa na watu wamesha jazana nje.
Kwa wenye akili maafa kutokea ni jambo Lililo tegemewa.
Unawaza uchawi tu badala ya kujikita katika hoja.punguzeni kafara nyie wavaa nyeusiiiiii
Halafu wanatazamwa tu pumbavu hao wanajua kutumia nguvu kuliko akili.Sikumbuki ni lini Askari wa Suma JKT wamewahi Kumiliki Akili zaidi tu ya Upumbavu wanaoumiliki Kutwa.
Hao jamaa wanajua kutumia nguvu tu kuliko akili.Uwanja wa Taifa ni kero, wamezoea kufungua mageti machache pia au Suma jkt wanafikiri kuuliza fujo ni kupiga watu