NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
Hakuna watu wa kumshauri huyo afsa usalama na kumwambia namna gani mashabiki wanapata keroAfisa usalama aliye letwa na CAF kusimamia mchezo huo ndie aliye sababisha matatizo yote. Yeye ndiye aliyekua na mamlaka ya milango kufunguliwa mapema...