TFF na Bodi ya Ligi Tanzania msitake Kutusababishia 'Kilazima' kurudia tabia zetu za Kuwapiga 'Waaumuzi' Mpirani kwani inakeraEndel

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Endeleeni tu 'Kuwanyamazia' hawa 'Waamuzi' wenu na 'Maupuuzi' yao Uwanjani kama huyu wa Leo kati ya Yanga SC na KMC ili Siku akina GENTAMYCINE wenye 'Historia' za 'Kuwakung'uta' hawa 'Waamuzi' Mipirani turejee hizi 'tabia' labda mtalizingatia. Sina tatizo na Yanga SC 'Kushinda' leo ila 'Hasira' zangu hasa zipo kwa 'Mwamuzi' kwa Kutoa 'Penati' ya 'Uwongo' kwa Yanga SC.

Rais wa TFF Karia, Makamu wako Nyamlani, Katibu Kidau na Msemaji wa Serikali Dk. Abbas najua mnanisoma mno hapa JF kuweni makini. Inakera!
 
'Human errors' sometimes zina arise kwenye mpira boss.
 
mimi huwa naangalia sana mpira na kwenye haki huwa nasema. ile ya yanga sio penalt na ile ya kmc kipa alivomkwatua mshambuliaji wa kmc baada ya beki wa yanga kutoa boko ni penalt japo watu hawaiongelei. ile inaitwa 'denying an opponent a goal scoring opportunity after losing a ball'. kipa alimkwatua striker wazi wazi. waamuzi wetu wanapatia kwenye corner, goal kick na mipira,ya corner basi.
 
Huna unacho jua ww, badala useme azam waongeze kamera kuondoa ukakasi unalia na ujinga wako huo.

Ile ni penati dhahiri sema azam hawana kamera za kuonesha kwa uzuri.

Hivi huyu kalia na bodi yake si ndio walipanga ratiba ya viporo hadi timu ikawa na viporo 10+ ama ni mwingine.
 
Hizi 'Human Errors' huwa zinatokea tu katika 'Mechi' ambazo huwa zinawapa Yanga SC 'Ushindi' au na hata 'Mechi' za Timu zingine? Tutawapiga tu!
@GENTAMYCINE

'Human errors' azitokei kwa yanga tu,hata kwa timu nyingine pia 'hutokeaaga',Je unakumbuka Yale magoli ya 'offside' ambayo Simba iliyokuwa ikinufaika nayo last season?
 
Ile ilikuwa ni penalti dhahiri, angalia vizuri clip imewekwa kwenye uzi huu...ila kwenu Simba siyo penalti kwani ninyi simba timu ya Yanga haistahili kupewa penalti ila nyie tu na vikaragosi vyenu Kama KMC...
 
Hizi 'Human Errors' huwa zinatokea tu katika 'Mechi' ambazo huwa zinawapa Yanga SC 'Ushindi' au na hata 'Mechi' za Timu zingine? Tutawapiga tu!
Msimu uliyoisha Simba wamepata matokeo mfululizo kwa magoli ya offside, mpaka washabiki wenyewe wa Simba mkawa mnaona aibu kwa matokeo ya kubebwa japo point tatu mnashukuru mnaziambulia kwa msaada wa waamuzi. Haya mambo yapo tu kwa kila timu, ipo siku utabebwa na waamuzi na ipo siku utanyongwa na waamuzi pia
 
Baada ya Refarii aliyewapa ubingwa kwa mbereko nyingi leo amekuwa mbaya tena jamani? Nyie si mlikuwa mnashangilia sana last season huku mzungu wenu uchwara akisema ni makosa ya kibinadamu
 
Mbumbumbu hawa,msimu uliopita points kama 18 walipewa na waamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…