NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mpaka Sasa NALIA NGWENA nimechoka sana, nilipochungulia ratiba ya Yanga kumaliza msimu ni ngumu sana Tena sana.
Tarehe 03/6 Yanga itacheza mchezo mzito Tena wa kufa mtu(fainali huko Algeria)
Tarehe 06/06 Yanga anakutana na Mbeya city huko mbeya
Tarehe 09/06 Yanga atakutana Tanzania prisons
Tarehe 12/06 fainali ya kombe la shirikisho dhidi ya Azam FC. Hii ni fainali Tena mechi ngumu mno.
NALIA NGWENA nawauliza TFF na Bodi ya ligi nchini hapa kipindi mnapanga hii ratiba mlijua Yanga inachezesha maroboti ya Elon musk??
Au kwa kua mmeona timu yenu pendwa (Simba sc) imekosa hata kombe la kufutia machozi mmeamua kuikomoa Yanga sc??
Nawasilisha hoja.
Tarehe 03/6 Yanga itacheza mchezo mzito Tena wa kufa mtu(fainali huko Algeria)
Tarehe 06/06 Yanga anakutana na Mbeya city huko mbeya
Tarehe 09/06 Yanga atakutana Tanzania prisons
Tarehe 12/06 fainali ya kombe la shirikisho dhidi ya Azam FC. Hii ni fainali Tena mechi ngumu mno.
NALIA NGWENA nawauliza TFF na Bodi ya ligi nchini hapa kipindi mnapanga hii ratiba mlijua Yanga inachezesha maroboti ya Elon musk??
Au kwa kua mmeona timu yenu pendwa (Simba sc) imekosa hata kombe la kufutia machozi mmeamua kuikomoa Yanga sc??
Nawasilisha hoja.