TFF na Bodi ya ligi wataishusha ligi kama wakijichanganya watafanya hivi

TFF na Bodi ya ligi wataishusha ligi kama wakijichanganya watafanya hivi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nampenda sana Fei Toto kwakuwa ni mzawa na mtanzania mwenzetu, lakini ni kweli kwamba Aziz Ki ni bora sana kuliko Fei Toto tena kwa mbali sana, lakini na Diara ni bora sana kuliko Matapi. Mfano, hebu waweke sokoni Aziz Ki na Fei Toto wewe utamchukua yupi kati ya hao wiwili. Na ukiwaweka sokoni kuwauza Diara na Matapi wewe utamkimbilia nani?

Aziz Ki ameisaidia Yanga kwenye mashindano ya ndani na mashindani ya nje (caf) na Afrika yote inafahamu hivyo. Diara ni bora sana kwenye ligi na nje ya ligi, kacheza mechi 21 tu za ligi lakini ana clean sheets 14, wastani wa 1.5 (66.6%)kwa mechi wakati matapi kacheza mechi 26 na kupata 15 clean sheets uwiano wa 1.7 (57.6%) ya mechi walizocheza. Lazima twende kwa kutumia namba (statistics). Hakuna kipa wetu hapa nchini asiyependa kuwa kama Diara kwenye goli.
 
Nampenda sana Fei Toto kwakuwa ni mzawa na mtanzania mwenzetu, lakini ni kweli kwamba Aziz Ki ni bora sana kule Fei Toto, na Diara ni bora sana kuliko Matapi. Mfano, hebu waweke sokoni Aziz Ki na Fei Toto wewe utamchukua yupi kati ya hao wiwili. Na ukiwaweka sokoni kuwauza Diara na Matapi wewe utamkimbilia nani?

Aziz Ki ameisaidia Yanga kwenye mashindano ya ndani na mashindani ya nje (caf) na Afrika yote inafahamu hivyo. Diara ni bora sana kwenye ligi na nje ya ligi, kacheza mechi 21 tu za ligi lakini ana clean sheets 14, wastani wa 1.5 (66.6%)kwa mechi wakati matapi kacheza mechi 26 na kupata 15 clean sheets uwiano wa 1.7 (57.6%) ya mechi walizocheza.
Ni soka letu tu linaendeshwa kwa ku balance mambo lakini kwenye soka letu inafika miaka zaidi ya 30 hajawahi kutokea kiungo kama Aziz K.

Nimewashudia viungo wa Chini na juu wengi , labda kiungo wa pembeni aliyekua akitumia mguu wa kushoto Lunyamila.
 
Anayestahili apewe. Hii ni sawa na waotaka idadi ya wachezaji wa kigeni ipunguzwe. Ukimuuliza mchezaji anatakiwa kucheza kwa kiwango chake au Utanzania wake? Hana majibu. Ukimuuliza mbona Tshabalala, Job, Bacca nafasi zao hawachezi wageni? Anatamani kukujibu ila basi.
 
Nampenda sana Fei Toto kwakuwa ni mzawa na mtanzania mwenzetu, lakini ni kweli kwamba Aziz Ki ni bora sana kule Fei Toto, na Diara ni bora sana kuliko Matapi. Mfano, hebu waweke sokoni Aziz Ki na Fei Toto wewe utamchukua yupi kati ya hao wiwili. Na ukiwaweka sokoni kuwauza Diara na Matapi wewe utamkimbilia nani?

Aziz Ki ameisaidia Yanga kwenye mashindano ya ndani na mashindani ya nje (caf) na Afrika yote inafahamu hivyo. Diara ni bora sana kwenye ligi na nje ya ligi, kacheza mechi 21 tu za ligi lakini ana clean sheets 14, wastani wa 1.5 (66.6%)kwa mechi wakati matapi kacheza mechi 26 na kupata 15 clean sheets uwiano wa 1.7 (57.6%) ya mechi walizocheza.
Ukweli mtupu huo.
 
Usichanganye mambo. TFF wanatoa tuzo kwenye Ligi yetu mambo ya mechi za kimataifa yanatokea wapi? Jua kwanza kutofautisha hayo.
 
Nampenda sana Fei Toto kwakuwa ni mzawa na mtanzania mwenzetu, lakini ni kweli kwamba Aziz Ki ni bora sana kule Fei Toto, na Diara ni bora sana kuliko Matapi. Mfano, hebu waweke sokoni Aziz Ki na Fei Toto wewe utamchukua yupi kati ya hao wiwili. Na ukiwaweka sokoni kuwauza Diara na Matapi wewe utamkimbilia nani?

Aziz Ki ameisaidia Yanga kwenye mashindano ya ndani na mashindani ya nje (caf) na Afrika yote inafahamu hivyo. Diara ni bora sana kwenye ligi na nje ya ligi, kacheza mechi 21 tu za ligi lakini ana clean sheets 14, wastani wa 1.5 (66.6%)kwa mechi wakati matapi kacheza mechi 26 na kupata 15 clean sheets uwiano wa 1.7 (57.6%) ya mechi walizocheza.
Kama waliweza kumpa Mayele na Ntibanzokiza ufungaji bora hawashindwi kufanya lolote hawa TFF
 
Ni soka letu tu linaendeshwa kwa ku balance mambo lakini kwenye soka letu inafika miaka zaidi ya 30 hajawahi kutokea kiungo kama Aziz K.

Nimewashudia viungo wa Chini na juu wengi , labda kiungo wa pembeni aliyekua akitumia mguu wa kushoto Lunyamila.
Timu nyingi za ndani na nje ya Tanzania zinamuhitaji Aziz Ki kuliko Fei Toto. Tutachekwa sana na pengine ligi yetu itakapompa hadhi Fei over Aziz Ki.
 
Usichanganye mambo. TFF wanatoa tuzo kwenye Ligi yetu mambo ya mechi za kimataifa yanatokea wapi? Jua kwanza kutofautisha hayo.
Haya tuone, kati ya Aziz na Fei nani kachukua tuzo nyingi za mchezaji bora wa mwezi wa ligi kwenye ligi?. Kusema ukweli magoli 3 ya Fei aliyapata pale Azam ilipocheza na wacheza 7 tu Tabora United mechi ya kwanza, ndiyo mshindanishe na Aziz? Eti Mohmed Hussein unamlinganisha na Bacca, Yao msimu uliopita na kuwaacha akina Lawi, manyama na wengine!!!
 
Aziz MVP, Feisal kiungo Bora mark my words
Tuzo za mwezi Aziz alipata ngapi na Fei alipata ngapi? Tumia takwimu. Haiwezekani mwanafunzi apate 100% kwenye mtihani wa mwisho wa Taifa wakati kwenye mazoezi, majaribio ya darasani alikuwa akipata zero.
 
Ni soka letu tu linaendeshwa kwa ku balance mambo lakini kwenye soka letu inafika miaka zaidi ya 30 hajawahi kutokea kiungo kama Aziz K.

Nimewashudia viungo wa Chini na juu wengi , labda kiungo wa pembeni aliyekua akitumia mguu wa kushoto Lunyamila.
Umeanza kushabikia soka msimu uliopita si mbaya kua kama tomaso
 
Umeanza kushabikia soka msimu uliopita si mbaya kua kama tomaso
Sawa naomba unitajie mchezaji mmoja tu ndani ya miaka 30 iliyopita kwenye Ligi yetu ambaye aliwahi fikia uwezo wa Aziz ki.
Sio kiungo namba 10 tu rudi, mpaka namba 8.
 
Kama tumeruhusu wachezaji wa kigeni waje Wacha waje kwa moyo mweupe wawachangamshe vijana wetu bila upendeleo Wala mizengwe,
 
Ni soka letu tu linaendeshwa kwa ku balance mambo lakini kwenye soka letu inafika miaka zaidi ya 30 hajawahi kutokea kiungo kama Aziz K.

Nimewashudia viungo wa Chini na juu wengi , labda kiungo wa pembeni aliyekua akitumia mguu wa kushoto Lunyamila.
Hujui maana ya kiungo
 
Tff hawaangalii mechi za njee uto mbona kama kama hamjui mpira........
 
Back
Top Bottom