TFF na Karia wachunguzwe. Timu nyingi za ligi kuu masikini.Sababu kuipa haki ya kurusha ligi kuu TV moja tu

Kwo herufi ndogo tusingeona mpaka ukaamua utufokee kabisa kwa herufi kubwa...


KichWa bOx
 
Mnyonge mnyongenj ila Azam ametoa hela nyingi na anafanya kazi nzuri kwa nchi kama yetu mpira uliojaa figisu ni ngumu kupata mwekezaji wa nje kudumbukiza hela kama za Azam.
 
Kwenye muongozo wa kutumia jf, kipengele namba 3 kinaeleza kuhusu matumizi ya herufi kubwa! Sasa kinapokiukwa sijui ni kwa nini mods hawachukui hatua…
View attachment 2065762
Herufi kubwa ndogo kati mambo ya kizamani.wewe unaishi dunia hii au upo sayari nyingine?zamani wenye miandiko mizuri shuleni mnazawadiwa,siku hizi hata kalamu situmii.ualimu wako mpelekee mkeo au wanao.
 
We boya kweli aliyekwambia hawakushindanishwa ni nani? Ligi yetu haina viwango vya kutoa rights kwa tv zaidi ya moja, watakula hasara wote
 
Herufi kubwa ndogo kati mambo ya kizamani.wewe unaishi dunia hii au upo sayari nyingine?zamani wenye miandiko mizuri shuleni mnazawadiwa,siku hizi hata kalamu situmii.ualimu wako mpelekee mkeo au wanao.

Wee lofa kweli! Kwa hiyo jf wana mambo ya zamani siyo?
Hebu angalia andiko lako kama halijabadilishwa hizo herufi zako kubwa!
So waambie hayo mabadiliko waliyoyafanya wapeleke kwa watoto na wake zao!
Acha kuwa kumbafu…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…