Moja ya malalamiko makubwa ya wadau wa mpira ni pamoja na ratiba mbaya ya ligi.
SASA hapa tunaona jinsi ambavyo hata muda unakuwa tatizo. Fikiria Kesho ni siku ya kazi halafu mpira unachezwa saa nane hivi tunategemea watu kuwepo uwanjani kutazama au tunakamirisha ratiba?