Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Mapinduzi ni chandimu. so it's useless kwangu ku report.Umerudi Tena. Halafu kila ukileta malalamiko Simba hushinda kombe. Ulileta malalamiko ngao ya jamii, Simba akashinda. Kwa hivyo tutegemee Simba kushinda kombe la Mapinduzi
Kumbe la mapinduzi linawauma?Umerudi Tena. Halafu kila ukileta malalamiko Simba hushinda kombe. Ulileta malalamiko ngao ya jamii, Simba akashinda. Kwa hivyo tutegemee Simba kushinda kombe la mapinduzi
mkuu umeandika kwa jazba sana. Hebu tulia kidogo. Kunywa maji. Rudi tena.I have been reporting corruption cases nyingi sana za football direct to fifa. nimenotice I can't keep it up. kuna too much information naona na miss. watu tuongezeke kureport rushwa hizi direct to fifa. huu mpira wetu utakufa. wamejaa watu wa ovyo sana in these organisation. na amna mtu ana take action.
we need few more reports. maana update zinatumwa direct to TFF AND ZFF, from fifa. weight inakuwa kubwa kidogo ila sio hizi kelele tunazo piga. without action.
Yaani umeandika upupu mtupu... Unaleta tuhuma bila ushahidi wowote....I have been reporting corruption cases nyingi sana za football direct to fifa. nimenotice I can't keep it up. kuna too much information naona na miss. watu tuongezeke kureport rushwa hizi direct to fifa. huu mpira wetu utakufa. wamejaa watu wa ovyo sana in these organisation. na amna mtu ana take action.
we need few more reports. maana update zinatumwa direct to TFF AND ZFF, from fifa. weight inakuwa kubwa kidogo ila sio hizi kelele tunazo piga. without action.
Hahahahaha daaah uto uto utoI have been reporting corruption cases nyingi sana za football direct to fifa. nimenotice I can't keep it up. kuna too much information naona na miss. watu tuongezeke kureport rushwa hizi direct to fifa. huu mpira wetu utakufa. wamejaa watu wa ovyo sana in these organisation. na amna mtu ana take action.
we need few more reports. maana update zinatumwa direct to TFF AND ZFF, from fifa. weight inakuwa kubwa kidogo ila sio hizi kelele tunazo piga. without action.
Makolokolo mlishinda kwa mbeleko tukawaambia kuwa ni wepesi kama puto kiubora mkakaza mafuvu na pira lenu la "objective football", kilichowakuta ni hiki hapa [emoji116]Umerudi Tena. Halafu kila ukileta malalamiko Simba hushinda kombe. Ulileta malalamiko ngao ya jamii, Simba akashinda. Kwa hivyo tutegemee Simba kushinda kombe la mapinduzi
Huyu majirani zake Wana tabu Sanaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]itakua Kila siku Kwa anawapeleka serikali ya mtaa kuwashtakiWewe jamaa sound zako uwa nazifananisha na za mzee mmoja maarufu mtaani kwetu,uyo mzee muda wote yupo bize mahakamani ana kesi nyingi amefungua dhidi ya utawala wa Nyerere.
Toka tukiwa wadogo ndio sound zake mpaka leo mara achangishe michango ya kwenda mahakamani ya Africa Arusha,mara atangaze anapeleka barua Ikulu kwa Rais yaani hakuna analofanya,mke wake ndio ameangaika kusomesha watoto mpaka wamekuwa watu wazima yeye maisha yake ni sounds tu!
Kila nikisoma nyuzi zako uwa naishia kucheka namkubuka mzee uyo wa mtaani uko kwetu,maana sound zako hazina kichwa wala miguu!! Yaani kwa akili zako unawaza kuwa FIFA na Caf wakusikilize madai yako wewe ambae uko sitimbi uku.
Utopolo mnaumia sana poleni na kikosi kipana chenuI have been reporting corruption cases nyingi sana za football direct to fifa. nimenotice I can't keep it up. kuna too much information naona na miss. watu tuongezeke kureport rushwa hizi direct to fifa. huu mpira wetu utakufa. wamejaa watu wa ovyo sana in these organisation. na amna mtu ana take action.
we need few more reports. maana update zinatumwa direct to TFF AND ZFF, from fifa. weight inakuwa kubwa kidogo ila sio hizi kelele tunazo piga. without action.
Faraja na dawa pekee ya maumivu yenu! Basi nacheeka sana maana nilushawajua hata hamsumbuiMakolokolo mlishinda kwa mbeleko tukawaambia kuwa ni wepesi kama puto kiubora mkakaza mafuvu na pira lenu la "objective football", kilichowakuta ni hiki hapa [emoji116]View attachment 2869273View attachment 2869274
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
yes I didUlimripoti aragija, Kama hukumripoti malalamiko.yako ni feki.
I have been reporting corruption cases nyingi sana za football direct to fifa.
Nimenotice I can't keep it up. kuna too much information naona na miss. watu tuongezeke kureport rushwa hizi direct to fifa. Huu mpira wetu utakufa. Wamejaa watu wa ovyo sana in these organisation. na amna mtu ana take action.
We need few more reports. Maana update zinatumwa direct to TFF AND ZFF, from fifa. Weight inakuwa kubwa kidogo ila sio hizi kelele tunazo piga. Without action.
Mie nilijua kichaa kimepona Yale Majina ulikuwa uyanguliza mwanzoni yako wapi?Makolokolo mlishinda kwa mbeleko tukawaambia kuwa ni wepesi kama puto kiubora mkakaza mafuvu na pira lenu la "objective football", kilichowakuta ni hiki hapaView attachment 2869273View attachment 2869274
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app