TFF na ZFF zimejaa Rushwa, tuzidi kuziripoti moja kwa moja FIFA na CAF

TFF na ZFF zimejaa Rushwa, tuzidi kuziripoti moja kwa moja FIFA na CAF

I have been reporting corruption cases nyingi sana za football direct to fifa.

Nimenotice I can't keep it up. kuna too much information naona na miss. watu tuongezeke kureport rushwa hizi direct to fifa. Huu mpira wetu utakufa. Wamejaa watu wa ovyo sana in these organisation. na amna mtu ana take action.

We need few more reports. Maana update zinatumwa direct to TFF AND ZFF, from fifa. Weight inakuwa kubwa kidogo ila sio hizi kelele tunazo piga. Without action.
FIFA is worse than TFF
 
TFF Haina shida..mwenye shida ni wewe mwenye njaa. Umebaniwa huko unataka tuamini kuwa kuna shida. Mpira na mchezo wa soka umetulia na mafanikio yanaonekana kwa vilabu na timu za taifa.

Acha majungu..tafuta kazi nyingine ya kukuingizia kipato
 
TFF Haina shida..mwenye shida ni wewe mwenye njaa. Umebaniwa huko unataka tuamini kuwa kuna shida. Mpira na mchezo wa soka umetulia na mafanikio yanaonekana kwa vilabu na timu za taifa.

Acha majungu..tafuta kazi nyingine ya kukuingizia kipato
wa Africa na kupenda incompetence 🚮🚮.
 
Back
Top Bottom