Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mimi pia siipendi haina nidhamuEeh kama vyura sasa sijui jamaa ana maindi nini hapo
Nidhamu gani tena kwani pale wanakosea niniHahaha mimi pia siipendi haina nidhamu
Huu uzi bila picha ni majunguNikiwa kama mmojawapo ya wadau wakubwa wa soka la nchi hii, na muumini wa maadili mema katika Kila nyanja, sipendezwi na Ile shangilia.
Kwa wadau wote wa mpira nadhani mnaona Ile shangilia hadi Hawa vijana wa u-20, wa hizi Timu za ligi kuu wameiga.
Ni aina ya ushangiliaji wa udhalilishaji na kukosa heshima, Naomba TFF na wadau wote wa fair play tuipinge hii style kuelekea msimu mpya wa soka.
AHSANTENI
Hiyo Ni maana yako ya kwake unaijua.Hakika, ni upuuzi na matusi.
Kumbe ndo hii? Hii style nzuri ya kuwakera watu.