Unashangaa kuwa Maguli na Chanongo wanacheza Ndondo cup! Subiri mwakani timu yao mikia fc nayo itashiriki, hiyo ndiyo level yao.Imekua kawaida kwa wachezaji wengi wa ligi kuu hapa Tanzania kushiriki ligi za ndondo mitaani. Hili suala linadhoofisha vipaji vyao bila wao kujua lakini pia kunyima fursa vipaji vingine kuibuka.
Nimeshangaa kusikia wachezaji kama Maguli na Chanongo kushiriki ndondo Cup.
TFF chukueni maamuzi juu ya hili.
Cc Mh Jamali Malinzi
Ajibu alikuwa uwanja wa Bandari leo...
Mpira wa Tz bhana!!!
Ni tatizo.Kutoka Bondeni hadi Ndondo! Pamoja na kwamba Mikia FC haichezi kama timu, wachezaji wake wanacheza Ndondo.
naona unatamba tuuKutoka Bondeni hadi Ndondo! Pamoja na kwamba Mikia FC haichezi kama timu, wachezaji wake wanacheza Ndondo.
Naweka kumbukumbu sawia.. Maguri na Chanongo ni wachezaji wa Stand United, na si Simba S.C.Unashangaa kuwa Maguli na Chanongo wanacheza Ndondo cup! Subiri mwakani timu yao mikia fc nayo itashiriki, hiyo ndiyo level yao.
Wachezaji gani wa Mnyama wanaocheza Ndondo?Kutoka Bondeni hadi Ndondo! Pamoja na kwamba Mikia FC haichezi kama timu, wachezaji wake wanacheza Ndondo.
Hahahaah kwa nini inatokea hivyo?Ndondo inaua kipaji utakuta mpira unaupigia mahesabu utue kwenye mguu mara utasikia umechange direction umekuja wa ugoko.
kwa maelezo haya,sina shaka wewe ni mbumbumbu fcAcha wivu wewe kila sehemu duniani kuna utamaduni wake haijalishi hata kama soka ni lile lile..
Inatakiwa ujue kwenye soka hakuna unachokipata zaidi ya burudani na hiyo ndio burudani na hawa wachezaji wametoka huku huku mtaani na sisi ndio tuliowakuza mpaka kufika huko tena kwa gharama zetu ambazo mara nyingi hatuzidai
Dirk Kuyt ameshawai kukiri kwamba hata yeye mwenyewe alikuwa anacheza ndondo huko kwao wakati anaichezea Liverpool sembuse Maguri
U know nothing na Kama ujui soka na utamaduni wake bora unyamaze usituletee hadithi za panya na paka (simbayanga)
Uchawi na viwanja.Hahahaah kwa nini inatokea hivyo?