Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Ajibu ni mchezaji wa mikia fc anacheza Ndondo. Angalia post yangu uone niliyem_quote.Naweka kumbukumbu sawia.. Maguri na Chanongo ni wachezaji wa Stand United, na si Simba S.C.
Wachezaji gani wa Mnyama wanaocheza Ndondo?