TFF Pigeni marufuku wachezaji ligi kuu kushiriki ndondo Cup

Naweka kumbukumbu sawia.. Maguri na Chanongo ni wachezaji wa Stand United, na si Simba S.C.

Wachezaji gani wa Mnyama wanaocheza Ndondo?
Ajibu ni mchezaji wa mikia fc anacheza Ndondo. Angalia post yangu uone niliyem_quote.
 
Yanga wachezaji wake hawapo kwavile wanashiriki ktk kombe la shirikisho la sivyo wachezaji wetu ungewaona ktk ndondo ti
 
TFF ndio wanasababisha haya kama wangekuwa na mashindano mengi yenye wadhamini wa kutosha wachezaji wa ligi kuu wasingecheza ndondo
 
ila huu ni ujinga.. wachezaji hawajitambui kabisa..

hivi mchezaji wa ligi kuu unacheza ndondo ukiumia nani anakutibia??
Wachezaji wetu nao ni tatzo.. Yote ni tamaa tu.. lakini TFF nao ni tatizo zaidi. Wao ndio walezi na wasimamizi wa soka letu. Hivi vitu wanaviona vidogo ila vinatugharimu sana. Shirikisho makini haliwezi kuruhusu hii kitu.
 
Naweka kumbukumbu sawia.. Maguri na Chanongo ni wachezaji wa Stand United, na si Simba S.C.

Wachezaji gani wa Mnyama wanaocheza Ndondo?
Ndemla anacheza ligi ya mbuzi apa kijitonyama shimoni shule ya msingi ,wengine majina siwajui ila golikipa wa akiba wa ruvu, beki wa kati wa mtibwa na mchezaji azam kiungo mkabaji babayake alisha wahi kuwa mchezaji wa timu ya taifa miaka ya nyuma uko,
Njoo kijitonyama utawaona wengi tu
 
Namcheki clouds hapa Ismail Aden Rage amelipinga pia hili suala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…