TFF rudisheni kombe la Taifa ambapo kila mkoa ulikuwa na timu shiriki

road master

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
2,064
Reaction score
3,021
Nakumbuka wakati tunakua miaka ya 90s kulikua na Taifa Cup ambapo mikoa yote ilishiriki na wachezaji wakubwa pia walishiriki hii iwaweza ufufua.

Vipaji na kuonesha uzalendo uliofufuka! Pia mashindano hata yasiishie kwenye soka tuu Bali ile ni michezo mingi mfano netball, basket, riadha, ngumi na hata ngoma za asili na music wa dance kukweli
 
Kombe la Taifa kama kuna kampuni inataka kupiga bao ni kudhamini michuano hii. Nakumbuka Mzizima United, relwe Eagles. Hii michuano ilikuwa mikubwa sana.

Ikirudi hii michuano watafute sana vipaji kutoka wilayani na mikoani. Kulikuwa na michuano mingi sana ya mashirika ya Umma siku hizi wamegeuza kichaka cha kutombeana tu huko na kula pesa.
 
Kombe la Taifa kama kuna kampuni inataka kupiga bao ni kudhamini michuano hii. Nakumbuka Mzizima United, relwe Eagles. Hii michuano ilikuwa mikubwa sana.

Ikirudi hii michuano watafute sana vipaji kutoka wilayani na mikoani. Kulikuwa na michuano mingi sana ya mashirika ya Umma siku hizi wamegeuza kichaka cha kutombeana tu huko na kula pesa.
 
Dah acha tuu mbususu zinasasambuliwa mpaka basi, hivi kwa nini hamna mashindano ya taifa ya kugegedana?
 
Taifa cup kwa sasa siyo muhimu,tuandae hizo NDO DO CUP tu zinatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…