TFF sasa mmeipa Yanga kibali cha kushinda kila mechi kwa hali na mali

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
hili linatokana na matamko ambayo Yanga mara kadhaa inatoa pale inapokosa ushindi. mara watasema walionewa na mwamuzi. mara watasema uwanja ulikuwa mbovu, mara watasema walilazwa hotel mbaya n.k. TFF mara nyingi imekuwa ikionekana kuwaogopa Yanga. hii mechi yao na maafande ilichezwa wiki moja iliyopita .tulitegemea mapema sana jambo lao kama lilikuwa hivyo walivyosema siku ile mara baada ya mechi wawasiliane na TFF. Je ina maana makamisaa hawakutoa report hiyo mpaka Yanga walipolalamika na kutoa vitisho? kama kuna makosa yalifanywa na wachezaji wa police yalipaswa kushughulikiwa mapema kabla malalamiko hayajatolewa. sasa hii itajenga hofu kwa marefarii wanaochezesha mechi za yanga kwa maana kama yanga isipofunga itaonekana hawakuchezesha vizuri na hivyo kutafutia sababu. hii itawajenga wachezaji wa Yanga kuwana kibri sana na kulazimisha ushindi, kila mara kumzonga mwamuzi kutaka matakwa yao yatimizwe na pia kuwafanya waamuzi wachezeshe mech za yanga kwa woga sana.
TFF msifanye maamuzi kwa pressure ingekuwa jambo la ajabu kwa yangakujitoa ligi. mbali na kucheza ligi yanga inafanya nini zaidi? ina michezo gani zaidi ya mpira wa miguu? hilo lilikuwa tishio la kijinga. kanuni zifatwe na si team hizi kubwa kuish kama zitakavyo.lakini pia team zote ziwe na nidhamu
 
Tatizo washambuliaji wa Kandambili ni butu, hawafungi hata magoli ya kuotea, kwahiyo usitishike sana mkuu, vipigo vitaendelea kuwashukia kama kawa.
 
acha upuuzi wenu kwahiyo yanga wakionewa wasilalamike? kitendo cha kumwita tambwe mkimbizi hakikubaliki huo ni ubaguzi wa hali ya juu kwenye soka. na hata kuumizwa si kitendo cha uungwana hata kidogo
 
Mimi nilidhani unakuja na habari yenye Radha na mashiko kumbe ni umbeha mtupu,sasa si ungepeleka kule simba na yanga fans,
 
acha upuuzi wenu kwahiyo yanga wakionewa wasilalamike? kitendo cha kumwita tambwe mkimbizi hakikubaliki huo ni ubaguzi wa hali ya juu kwenye soka. na hata kuumizwa si kitendo cha uungwana hata kidogo

Ni kweli lakini pia kumuuma na kumpiga kibao mpinzani wako hairuhusiwi. Au zipo sheria tofauti kwa watu tofauti.
 
Tatizo washambuliaji wa Kandambili ni butu, hawafungi hata magoli ya kuotea, kwahiyo usitishike sana mkuu, vipigo vitaendelea kuwashukia kama kawa.

Msimamo wa ligi unaonyesha "ubutu" wa Yanga na jinsi mastraika wa mikia walivyo kwenye kiwango.
 

bangi mbaya sana sijaelewa ulichokiandika....labda wew nin napnout yako juu ya lile kulichotokea na kuripotiwa na vyombo vya habari......unaelewa nin kuhusu kauli mbio ya FIFA fair play au unaongea kushabiki zaidi kama watu wa mambumbumbu fc aka mikia fc
 
Msimamo wa ligi unaonyesha "ubutu" wa Yanga na jinsi mastraika wa mikia walivyo kwenye kiwango.

mkuu hawa watu wanamatatizo ya mtindio wa akili usiwashangae sana pengine ndo njia ya kujifariji...etii wanaiponda timu iliyo juu ya msimamo wa ligi Halafu wait sijui wapo nafac ya ngapi kama Sio kujifariji ni nini huko....mambumbumbu bwana,
rage alikuwa ameyajulia kweli kwel
 

Rage alikuwa anajua ana-deal na watu wa aina gani. Yaani msimamo wa ligi upo wazi, lakini mtu anaendekeza ushabiki wa umbumbumbu!
 

Samahani sana, lakini wewe ni mjinga na mpuuzi kabisa. Unaleta ushabiki wa kijinga kwenye mambo yanayoamua mustakabali wa soka. Ulaaniwe
 
Acha ufala mleta uzi,kwa hiyo yanga wao hawana haki ya kulalamika?mchezaj bora mwwenyew wa dunia kachezewa vibaya karusha ngumi lakin tambwe anavyojua fairplay wala hakurusha ngumi,ingawa alitukanwa,alidharauliwa,alidhalilishwa sana na kufanyiwa michezo michafu halafu ww unataka wakae kimya?
 
hawa mayanga wanachojua ni uchawi na matusi tu. kuonewa mnaonewa mnapokosa kushnda? nani hajui ushirikina wa yanga na rushwa za manji kwa wachezaj wa team pinzan na marefarii? yanga mtabak kuwa wa hapa hapa..... ndo maana miaka yote yanga haijaweza fanya vizur mashndano ya kimataifa ukilinganisha na simba. wakae kimya walikuwa wapi?
 

Waambiage waache unazi wa kijinga.
 

Haya sasa jana yamemkuta Okwi, sema tena mropokaji wewe!!
 
Cc Jamal Malinzi
 
Last edited by a moderator:
madaktari waliomtibu OKWI wameniangusha sana,inakuwaje wanaruhusu mwizi kama yule anazinduka bwana
 
Nyenyere wachezaji kuumizwa hilo suala lipo kwenye mpira. wala hatuwezi kusema tunagomea ligi kwa sababu hiyo. au kwa kuwa tumetoa draw ndo iwe sababu. la msingi kuna refarii,kuna kamisaa nk hawa watatoa ripoti husika. hatupend mchezajia aumizwe ila tunajua kwenye mpira watu huumia. ikiwa mtu anaumia kitandani itakuwa uwanjan? ila si kigezo cha kusingizia matokeo na kutaka kususa. sisi wanaume hatuwez susa kwa sababu za kipuuzi kama hizo.
 

Walichotaka Yanga kimefanyika. Hatua zimechukuliwa. Katika nchi ambayo ni failed state haki hutolewa kwa mashinikizo.
 
madaktari waliomtibu OKWI wameniangusha sana,inakuwaje wanaruhusu mwizi kama yule anazinduka bwana

Usiwe na wasiwasi na wewe siku moja yakikupata au yampate ndugu yako wataku/mwacha ili asizinduke kama unadhani kutozinduka ni vizuri hadi utake wenzake wasizinduke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…