TFF SIWAELEW KUHUSU TAIFA STARS

TFF SIWAELEW KUHUSU TAIFA STARS

Kalolelo

Senior Member
Joined
Oct 17, 2018
Posts
164
Reaction score
244
Timu yetu ya taifa imeelekea South Africa kwa ajili ya maandalizi ya mechi dhidi ya Lesotho ajabu ni hili wametaja wachezaji tu Lakini viongozi hawajatajwa au ndo Yale mheshimiwa alisema wachezaji 20 wasindikizaji 40 tafadhali waweke na viongozi walioenda au ndo mnawaficha mkalale kwenye hotel za kifahari pamoja na kupata posho
 
Back
Top Bottom