Tayari mnaendeleza kufungia viwanja mlianza na Gwambina sasa mmesha shika kasi.
Hiyo haitakuja kuwa dawa ya viwanja viwe vizuri sehemu za kuchezea pamoja na vyumba vya kubadilishia nguo Never.
Watu wengi wanajua kiwanja kizuri ni kilichomwagiwa maji ya kutosha lahasha tumieni wataalamu mlionao kufanya mageuzi
Zitakeni timu zote za ligi kuu kuajiri watu kwa ajili ya nyasi utunzaji na itifaki zote zinazohusiana na pitch.
Watu hao watakao ajiriwa wapewe mafunzo ya muda mfupi na mrefu, wapatiwe vifaa vya kuwezesha utunzaji wa nyasi.
Nyasi za hivyo viwanja zilizopo kama viwanja vingi mnavyo vifungia sio za kiwango kuchezewa mpira wa kisasa
Watu wanaotunza uwanja wa Benjamin Mkapa wanajitahidi lakini sio kwa kiwango kinacho paswa kwa maana wanaachaga nyasi zinakuwa mpaka zina funika kiatu cha mchezaji, professional haitakiwi iwe vile mfano ulikuwa ni ile mechi ya Simba Sc na Biashara Fc kumbukeni kiwanja mlivyokiweka wakati wa mashindano ya Afcon ya vijana kiwanja kilikuwa bora sana wakati ule nini kinachoshindikana sasa.
Turudi kidogo kwenye Mada wekezeni kwenye eneo la kuchezea hapo ndio ubora wa mchezaji mmoja mmoja unaonekana mahitaji mengine kama kurekebisha changing rooms sio kazi ya kutisha sana kwakuwa watanzania wengi wana ujuzi kwa ujenzi na ukarabati wa majengo ni rahisi kupata hao watu.
Nawasilisha
Hiyo haitakuja kuwa dawa ya viwanja viwe vizuri sehemu za kuchezea pamoja na vyumba vya kubadilishia nguo Never.
Watu wengi wanajua kiwanja kizuri ni kilichomwagiwa maji ya kutosha lahasha tumieni wataalamu mlionao kufanya mageuzi
Zitakeni timu zote za ligi kuu kuajiri watu kwa ajili ya nyasi utunzaji na itifaki zote zinazohusiana na pitch.
Watu hao watakao ajiriwa wapewe mafunzo ya muda mfupi na mrefu, wapatiwe vifaa vya kuwezesha utunzaji wa nyasi.
Nyasi za hivyo viwanja zilizopo kama viwanja vingi mnavyo vifungia sio za kiwango kuchezewa mpira wa kisasa
Watu wanaotunza uwanja wa Benjamin Mkapa wanajitahidi lakini sio kwa kiwango kinacho paswa kwa maana wanaachaga nyasi zinakuwa mpaka zina funika kiatu cha mchezaji, professional haitakiwi iwe vile mfano ulikuwa ni ile mechi ya Simba Sc na Biashara Fc kumbukeni kiwanja mlivyokiweka wakati wa mashindano ya Afcon ya vijana kiwanja kilikuwa bora sana wakati ule nini kinachoshindikana sasa.
Turudi kidogo kwenye Mada wekezeni kwenye eneo la kuchezea hapo ndio ubora wa mchezaji mmoja mmoja unaonekana mahitaji mengine kama kurekebisha changing rooms sio kazi ya kutisha sana kwakuwa watanzania wengi wana ujuzi kwa ujenzi na ukarabati wa majengo ni rahisi kupata hao watu.
Nawasilisha