Hivi unaitenganisha vipi CCM na ubovu wa viwanja nchini?
Hivi viwanja vilijengwa enzi za chama kimoja, TANU ka viwanja vya wananchi. CCM imejimilikisha lakini haina hata mpango wa kuviendeleza.
Viwanja vinachakaa lakini hamna hata mpango wa kuviendeleza