marcs
JF-Expert Member
- Nov 2, 2016
- 1,066
- 573
Kwanza nchi kama ya TZ nchi yenye kila kitu tunaona barabara za juu flyingover uchumi kuwa wa kati bado ima viwanja vibovu ni aibu hata kurucha mechi hizo
Kabisa ulmwengu unatazama kupitia setelite ni kituko kwa habari ya viwanja ni bora game zichezwe bila kirushwa
Tena kwa karne hii ya sayansi na technologia ni aibu kubwa tena ikibidi serikali wizara husika waingilie kati
Watanzania wanapenda mpira lakini hatuna viwanja au lwani kina kosa kuchezea viwanja vitano tu vilivyo bora!!
Kabisa ulmwengu unatazama kupitia setelite ni kituko kwa habari ya viwanja ni bora game zichezwe bila kirushwa
Tena kwa karne hii ya sayansi na technologia ni aibu kubwa tena ikibidi serikali wizara husika waingilie kati
Watanzania wanapenda mpira lakini hatuna viwanja au lwani kina kosa kuchezea viwanja vitano tu vilivyo bora!!